Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwa miaka mingi mikoa ya Mbeya na Songwe imekuwa ikitoa wanasia wenye kuelwmea upande wa upinzani, wakiikosoa serikali ya CCM bila ya woga wowote, hata wakitishiwa mateso na kifo hawatetereki.
Je, ni nini haswa kilichopelekea watu wa mikoa hiyo kuwa hivyo?
Hukk ndiko sehemu ambako CCM hupita kwa mbinde sana
Je, ni nini haswa kilichopelekea watu wa mikoa hiyo kuwa hivyo?
Hukk ndiko sehemu ambako CCM hupita kwa mbinde sana