Kwanini upinzani una nguvu sana Mbeya na Songwe tangu miaka ya 1990 hadi sasa?

Kwanini upinzani una nguvu sana Mbeya na Songwe tangu miaka ya 1990 hadi sasa?

Kwa miaka mingi mikoa ya Mbeya na Songwe imekuwa ikitoa wanasia wenye kuelwmea upande wa upinzani, wakiikosoa serikali ya CCM bila ya woga wowote, hata wakitishiwa mateso na kifo hawatetereki.

Je, ni nini haswa kilichopelekea watu wa mikoa hiyo kuwa hivyo?

Hukk ndiko sehemu ambako CCM hupita kwa mbinde sana
Ni kwasababu Wana chakula cha kutosha. Ni watu wasiokuwa na njaa Kama wa mikoa ya Dodoma na Singida,hawategemei kuishi kwa fadhila za wanasiasa. Wanajiamini, moja ya sifa ya mtu amekula chakula vizuri toka utoto hata uwezo wake wa kufikiria unakuwa ni mkubwa. Angalia mikoa yote yenye chakula cha kutosha Kuna upinzani mkubwa, maana watu akili zao Zinachaji.
 
Kwa miaka mingi mikoa ya Mbeya na Songwe imekuwa ikitoa wanasia wenye kuelwmea upande wa upinzani, wakiikosoa serikali ya CCM bila ya woga wowote, hata wakitishiwa mateso na kifo hawatetereki.

Je, ni nini haswa kilichopelekea watu wa mikoa hiyo kuwa hivyo?

Hukk ndiko sehemu ambako CCM hupita kwa mbinde sana
Mikoa hii haijatendewa haki.mfano makao makuu ya mkoa wa songwe(vwawa)hakuna maji ya bomba mpaka leo.pia watu wa Nyanda za juu kusini ni wapigania haki.hata migomo ya vyuo na sekondari huwa ni viongozi.
 
Upinzani gani? Bujibuji umeweka kiujumla sana. Majimbo yaliyowahi kuwa na upinzani kwa mikoa hiyo ni mingapi ukitoa ule upepo wa Lowassa 2015?
 
Na upinzani sio Chadema tu. Mikoa ya Lindi na Mtwara inayodharauliwa na baadhi ya wadau humu, imekuwa na wabunge wa CUF kwa miaka ya kutosha.
 
Kwa miaka mingi mikoa ya Mbeya na Songwe imekuwa ikitoa wanasia wenye kuelwmea upande wa upinzani, wakiikosoa serikali ya CCM bila ya woga wowote, hata wakitishiwa mateso na kifo hawatetereki.

Je, ni nini haswa kilichopelekea watu wa mikoa hiyo kuwa hivyo?

Hukk ndiko sehemu ambako CCM hupita kwa mbinde sana
Kwa sababu watu wa kule wengi wanavuta bangi
 
Wamesoma lini hao wanyamwanga wandali na wamalila ?
Hii unatokana na ubaguzi wa kimaendeleo unaofanywa na serikali,watu wa mikoa hiyo hawapelekewi miradi mikubwa na serikali hivo huhisi hawapemdwi na serikali!!pia Ni wasomi,hivyo wana uwezo mkubwa Sana wa kuchanganua Mambo.
 
Ile Barbara nzuri iliyotoka Iringa imeishia Igawa. Mbeya mjini kuna Barbara kuu moja nyembamba, nayo hii isingekuwa kuelekea mpakani Malawi na Zambia tusingekuwa nayo. Mbeya kwa asiri RAIA wake ni wachapa kazi, nafikiri isingekuwa ni mazao ya kilimo ndo kabisa tungesahaulika.
Nyie huko Mbeya bado sana mlisema mna Rais wenu Sugu. hahaha nyumbu bhana tabu sana. Mji wenyewe kama Kahama tu.
 
Back
Top Bottom