Kwanini upinzani una nguvu sana Mbeya na Songwe tangu miaka ya 1990 hadi sasa?

Yule naibu waziri wa elimu wa zamani jina nadhani Ni Mulugo au Ugoro si Ni mtu wa huko?
Mulugo si wa CCM?
Kama wanabambikiwa wabunge Kama Mulugo wataacha kuichukia CCM?
Mlugo ni mchawi kikuda
 
Wewe jamaa huna ufahamu...kukosa ufahamu sio tusi bali ni kujifunza..hyo propaganda mfu kabsaaa....!!
 
...Mbona Pazito hapa....Pachunguliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…