Ni shida chanzo Kikuyu Cha ajali za kwetu ni Kama zifuatazo
1. Uchovu barabarani.
2. Magari mengi mabovu hasa malori.
3. Ulevi, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukinywa wakati tunaona kila bar walevi wamepaki magari wakitoka bbar wanapenda kuendesha na Polisi wanaangalia tu, wakiwa huko barabarani ndo ajali.(Eg. Zorro daughter)
4. Kutokufuata Sheria za barabara, huu ni ugonjwa wa Tanzania hasa wakati wa ku overtake ,tunatake risk sana, ajali nyingi zinatokea na kuovertake sehemu isiyoruhusiwa.
Turudi kwenye mada, ajali nyingi za siku hizi ni kwamba roli linahama upande wake linaende upande wa pili ngoma zinagongana kichwa kwa kichwa, na nyingi hizi kwa maana malori ni mengi mno, sijui reli ije tu waondoe haya malori.
Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.
.wanaweza wakaweka ukuta hata mita moja mgumu mrefu, ajali zimezidi sana