Kwanini usijengwe ukuta katikati ya barabara za mikoani kupunguza ajali?

Kwanini usijengwe ukuta katikati ya barabara za mikoani kupunguza ajali?

Mimi nadhani watengeneze njia hata 6 tofauti kwa lane ya upande mmoja. Kuwe na njia Za malori, mabus na gari za abiria plus za magari madogo. Na kila moja iwe na uwezo wa kuovertake (ndo maana zinakua 6). Hivo jumla ziwe 12 6 kila upande. Hapo hakuna kuingiliana. Na camera barabarani ziwepo ukizingua gari inafungiwa kutembea.
 
Ukuta utasababisha foleni Kubwa kwenye Njia Moja(One way) na kutakuwa hakuna ku overtake. Suluhisho ni kujenga Njia mbili (Dual Carriage) Ili gari mbili ziwe zinapita upande mmoja na kupunguza head to head collision.
 
Inahitajika njia mbili dual
Na lazima mwigilu azitafute
Wabunge wamekaa wanakula tu na akili zimekaa pia
 
Sema kile ki mstari cha kutenganisha pande za barabara kiongezwe urefu kwenda juu.[emoji16][emoji23].

Ila kwa hayo mawazo hufiki mbinguni mkuu
 
Ni shida chanzo Kikuyu Cha ajali za kwetu ni Kama zifuatazo

1. Uchovu barabarani.
2. Magari mengi mabovu hasa malori.
3. Ulevi, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukinywa wakati tunaona kila bar walevi wamepaki magari wakitoka bbar wanapenda kuendesha na Polisi wanaangalia tu, wakiwa huko barabarani ndo ajali.(Eg. Zorro daughter)
4. Kutokufuata Sheria za barabara, huu ni ugonjwa wa Tanzania hasa wakati wa ku overtake ,tunatake risk sana, ajali nyingi zinatokea na kuovertake sehemu isiyoruhusiwa.

Turudi kwenye mada, ajali nyingi za siku hizi ni kwamba roli linahama upande wake linaende upande wa pili ngoma zinagongana kichwa kwa kichwa, na nyingi hizi kwa maana malori ni mengi mno, sijui reli ije tu waondoe haya malori.

Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.

.wanaweza wakaweka ukuta hata mita moja mgumu mrefu, ajali zimezidi sana
Mkuu una umri gani?
 
Mimi nadhani watengeneze njia hata 6 tofauti kwa lane ya upande mmoja. Kuwe na njia Za malori, mabus na gari za abiria plus za magari madogo. Na kila moja iwe na uwezo wa kuovertake (ndo maana zinakua 6). Hivo jumla ziwe 12 6 kila upande. Hapo hakuna kuingiliana. Na camera barabarani ziwepo ukizingua gari inafungiwa kutembea.
Kumbuka kuwa Tz bado kuna sehemu barabara bado ni vumbi. Ref kidatu-ifakara ni mfano mdogo. Mkuu driver akipiga k-vant hata ziwe barabara 20 ataleta ajari tu.
 
Ni shida chanzo Kikuyu Cha ajali za kwetu ni Kama zifuatazo

1. Uchovu barabarani.
2. Magari mengi mabovu hasa malori.
3. Ulevi, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukinywa wakati tunaona kila bar walevi wamepaki magari wakitoka bbar wanapenda kuendesha na Polisi wanaangalia tu, wakiwa huko barabarani ndo ajali.(Eg. Zorro daughter)
4. Kutokufuata Sheria za barabara, huu ni ugonjwa wa Tanzania hasa wakati wa ku overtake ,tunatake risk sana, ajali nyingi zinatokea na kuovertake sehemu isiyoruhusiwa.

Turudi kwenye mada, ajali nyingi za siku hizi ni kwamba roli linahama upande wake linaende upande wa pili ngoma zinagongana kichwa kwa kichwa, na nyingi hizi kwa maana malori ni mengi mno, sijui reli ije tu waondoe haya malori.

Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.

.wanaweza wakaweka ukuta hata mita moja mgumu mrefu, ajali zimezidi sana
Suluhisho,ni mizigo kubebwa na njia ya reli,malori yasibebe mizigo kutoka bandarini na viwandani.
 
KUHUSU BARABARA NCHI YETU ILIFANYA VIZURI MAENEO MENGI SIJUI MDUDU GANI AMETUVAMIA MFANO NILIWAHI KUPITA TUNDUMA FORENI YA KUINGIA MPAKANI INATISHA SABABU KUBWA NI BARABARA KUWA NYEMBAMBA SIONI SABABU ZA KUSHINDWA KUPANUA BARABARA KM 10.
WAKATI HUDUMA ZA BANDARI ZINABORESHWA NI MUHIMU KUBORESHA LANGO LA UTOAJI MIZIGO.
Mizigo ibebwe kwa njia ya Reli,kutoka bandarini kwenda mikoani na nje ya nchi.Na kutoka viwandani kwenda mikoani na nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom