Zipo gari ambazo uskani upo katiKwa nn hakuna ulemav wa makalio
Ushawah jiuliza hili
Ukipata jibu nshtue
Ushapata jibu la swal languZipo gari ambazo uskani upo kati
[emoji3][emoji3] Kumbuka kuna left hand alaf tunaovertake right hand.Ili iwe rahisi kuona mbele wakati wa ku-overtake.
Huu ni utafiti wa vijiweni.
Wakati kwa kawaida mtu ukiangalia unaona labda ungekaa pale katikati ingekuwa ni rahisi zaidi kwa dereva kuendesha kwa usahihi zaidi na uenda labda ili lingeweza kupunguza ajali za magari barabarani
Sijui kwann nimechekaa,.nimewaza tuu dereva akiwa amekaa katikati na usukani wake..πππ
Lefthand zilitengenezwa maalum kwa nchi zinazotumia upande wa kushoto mfano rwanda na marekani[emoji3][emoji3] Kumbuka kuna left hand alaf tunaovertake right hand.
Uko vizuri mkuu, na sijui kwann wanaziuza kwa nchi ambazo tunaovertake righthand.Lefthand zilitengenezwa maalum kwa nchi zinazotumia upande wa kushoto mfano rwanda na marekani
Bajaji na gari tofautiBajaji