Kwanini usukani wa gari haukuwekwa katikati na badala huwekwa kushoto ama kulia?

Kwanini usukani wa gari haukuwekwa katikati na badala huwekwa kushoto ama kulia?

Nisikilize mimi acha ubishi
Badhi ya magari ya zamani yalikuwa na steering kati kati lakin ikaja kuonekana ni bora kuwa pembeni kutokana na sababu hizi
  1. kuwa na steering kati kati kulisababisha dereva ili ajisikie huru ilibidi awe mwenyewe mbele kama unavyoona bajaji, hii ingesababisha labda watengeneze gari pana sana ili akae na wenzake wawili mmoja kulia mwingine kushoto maana mbele magari mengi wanakaa watu wawili dereva na mtu wa pembeni basi, hivi kuweka kati kati haitabalance nafasi kwa wengine
  2. Kuweka steering katikati ingesababisha dereva kushindwa kuona kinachoendelea kwenye barabara nyuma yake kupitia side mirrors maana waliokaa pembeni hapo wangemkinga hasione
  3. Usukani au steering wheel iko connected na steering shaft ambayo sasa ingebidi kurefushwa zaid mpaka kwenye gear box kupitia kwenye njia hiyo ingekuwa kwamba engine na na shaft zimeingiliana kwenye njia kama steering ingekuwa kati kati
Britannica
 
[emoji3][emoji3] Kumbuka kuna left hand alaf tunaovertake right hand.
Hiyo gari inakua iko katika nchi ambayo siyo sahihi. Elewa kwamba unatakiwa kuwa na gari kulingana na taratibu za nchi yako, kama nchi ina keep left unatakiwa kuwa na gari ambayo ni RHD and vice versa.
 
Hiyo gari inakua iko katika nchi ambayo siyo sahihi. Elewa kwamba unatakiwa kuwa na gari kulingana na taratibu za nchi yako, kama nchi ina keep left unatakiwa kuwa na gari ambayo ni RHD and vice versa.
@Ng'wale [emoji106][emoji106]
 
Uko vizuri mkuu, na sijui kwann wanaziuza kwa nchi ambazo tunaovertake righthand.
Na kiutaratibu hutakiwi kununua gari ambayo ni LHD ukiwa TZ. Gari ziko za aina zote, you choose either RHD or LHD accordingly.
 
Nisikilize mimi acha ubishi
Badhi ya magari ya zamani yalikuwa na steering kati kati lakin ikaja kuonekana ni bora kuwa pembeni kutokana na sababu hizi
  1. kuwa na steering kati kati kulisababisha dereva ili ajisikie huru ilibidi awe mwenyewe mbele makanika unavyoona bajaji, hii ingesababisha labda watengeneze gari pana sana ili akae na wenzake wawili mmoja kulia mwingine kushoto maana mbele magari mengi wanakaa watu wawili dereva na mtu wa pembeni basi, hivi kuweka kati kati haitabalance nafasi kwa wengine
  2. Kuweka steering katikati ingesababisha dereva kushindwa kuona kinachoendelea kwenye barabara nyuma yake kupitia site mirrors maana waliokaa pembeni hapo wangemkinga hasione
  3. Usukani au steering wheel iko connected na steering shaft ambayo sasa ingebidi kurefushwa zaid mpaka kwenye gear box kupitia kwenye njia hiyo ingekuwa kwamba engine na na shaft zimeingiliana kwenye njia kama steering ingekuwa kati kati
Britannica
Bravo broo nadhani hizi zinaweza kuwa ni miongoni mwa sababu lukuki zilizopelekea mpaka ukafikiwa uamuzi wa kuiweka steering pembeni mwa gari na si katikati
 
Kwanini bajaji, tractor, excavator na grade sterling zao zipo katikati??? Ukipata jibu utakuwa umejinjibu swali lako
 
Mimi najua tu kwa nini upo kulia, ili kusaidia usalama zaidi maana unakuwa upande ambao unaweza kwaruzana na gari na wewe ukiwa huo upande hivyo utazidisha umakini.
 
Kwa vile usukani walitengeneza wazungu mi huwaga sina shaka,ndiyo maana nikipanda ndege rubani akijitamburisha huwa nakagua kama ni mtu mwenye ngozi nyeupe huwa napatwa na amani na usingizi juu,ila nikisia na kuona mtu mweusi huwa sisahau kusali.Mzungu hata akiniletea keki zimetengenezwa na ma.vi nitazila kwa amani yote.MSINICHUKILIE VIBAYA NDIVYO IMANI YANGU INAVYOSEMA.
Hahahaha upo Kama Mimi kwa upande wa ma dokta na watumishi wetu wa church mi rangi nyeusi siziaminigi[emoji1]
 
Sio 'sterling' ni steering ( wheel)! Jiulize: kwa nini sight mirrors hazikuwekwa katikati badala yake ziko pembeni mwa gari?
Siyo sight bali Side mirrors unless humaanishi hii.
Car Mirrors and Their Functions _ Autoxpat.jpg
 
Kuna gari za Fire zina usukani katikati kama sikosei niliziona uwanja wa ndege wa KIA .
 
Back
Top Bottom