Kwanini usukani wa gari haukuwekwa katikati na badala huwekwa kushoto ama kulia?

Mmmh sababu yako mkuu siiungi mkono maana kama wangeamua kuuweka katikati manake ni kwamba na izo factor nyingine zote ulizozitaja zinazopelekea huu usalama unaousema si pia zingewekwa nazo pia hapo katikati ili kuendelea kumsaidia dereva ili aendeshe kwa usalama
 
At least hii sababu nadhani inaweza kuwa ni mojawapo kati ya nyingi zilizopelekea hii kitu
 
Je unajua kwanini kitanda hakiwekwi katikati ya chumba?

Ukijua hilo hata la gari utakuwa umemaliza. Utakua umepata jibu.
 
Haukuwekwa katikati kwa ajiri ya mikono ya dereva pale anapo choka aweze kueka kishoka mkono mmoja, raha ya gari kueka kishoka bhana lakini sio kwenye HOHO, NA RUNCH BOX
 
Bado Natafakari design ya hiyo gari na site mirror zake
Mkuu kwanini usitafakari design ya gari hili ambalo tumelikuta lenye right na left hand drive steering wheel kama waliweza kulidesgn hili why washindwe ilo lenye syeering katikati mkuu ni rahisi tu na inawezekana mzee
 
Je unajua kwanini kitanda hakiwekwi katikati ya chumba?

Ukijua hilo hata la gari utakuwa umemaliza. Utakua umepata jibu.
Mbona cha kwangu mimi nimekiweka katikati ya chumba na pia mbona watu wengi wanaweka vitanda vyao katikati mkuu hii wala haiusiani na mada kabisa alafu haiwezi kuwa sababu ya kisayansi ata kidogo mkuu!
 
Zamani nakumbuka tulikua tunaimba

[emoji443][emoji444]" Dereva, Kondakta, Bibi katikati"[emoji444][emoji443]

Sasa Kama we upo katikati ulikua una maind kinyama kwasababu katkati siku zote sio kuzuri.
 
Pale ulipo ndipo unamfanya dereva aendeshe kwa usahihi zaidi kuliko kama ungekuwa katikati kama bajaji, dereva kuwa kulia mwa gari kunamfanya aone inamoishia lane yake kwa usahihi zaidi na kutosababisha ajali kwa sisi tunaopita kushoto mwa barabara
Ina maana dreva wa trekta yeye waga haoni inapoishia lane yake kweli kiongozi na pia hii haiwezi kuwa sababu ya kisayansi
 
Kwa vile usukani walitengeneza wazungu mi huwaga sina shaka,ndiyo maana nikipanda ndege rubani akijitamburisha huwa nakagua kama ni mtu mwenye ngozi nyeupe huwa napatwa na amani na usingizi juu,ila nikisia na kuona mtu mweusi huwa sisahau kusali.Mzungu hata akiniletea keki zimetengenezwa na ma.vi nitazila kwa amani yote.MSINICHUKILIE VIBAYA NDIVYO IMANI YANGU INAVYOSEMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…