Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Oh Lord have mercy!!!! Babako nae jamaniii😔😔em mwambie asiwe hivyo..weekend ijayo narudi..Dady hataki kupokea simu ana wivu anahisi huko uliko unachepuka![emoji16][emoji16][emoji16]
Sio gari linabeba abiria mbele wakiwa siti moja na derevaHili dereva aweze kuwa huru zaid bila kusumbuliwa au kugusana anapo piga kona zozote.
Usukani ukiwa kati, maan dereva atakuwa amewekwa katikati ya abiria, hapa anaweza asiwe flexible au comfortable sana, kinyume na hapo kuwe kuna gape kubwa kati ya siti ya dereva na abiria hao wawili kwa kila upande, na kufanya gari liwe pana zaidi
Niwazavyo.
Ukikaa kati utawezaje kuovertake mzee babaIvi ni sababu zipi za kisayansi ama za kawaida zilizo na zinazosababisha mpaka leo uskani (sterling) ya gari isiwekwe pale katikati bali huwekwa pembeni kushoto ama kulia mwa gari
Wakati kwa kawaida mtu ukiangalia unaona labda ungekaa pale katikati ingekuwa ni rahisi zaidi kwa dereva kuendesha kwa usahihi zaidi na uenda labda ili lingeweza kupunguza ajali za magari barabarani
Kwa yeyote anayejua sababu za kisayansi zinazozuia uskani kukaa katikati karibu atujuze wengine tusio jua izo sababu
Hii inaweza kuwa ni mojawapo kati ya sababu lakni vip kwa gar za LHD nazo unaziweka wapi kwa hii point yako ndugu ama zenyewe ni vice versa zinapata ajali sana mkuu??Kwanini bajaji, tractor, excavator na grade sterling zao zipo katikati??? Ukipata jibu utakuwa umejinjibu swali lako
Hakiwekwi katikati ya chumba uswahilini.. Watu wenye mijengo na room zwnye nafasi wanaweka kitanda katikatiJe unajua kwanini kitanda hakiwekwi katikati ya chumba?
Ukijua hilo hata la gari utakuwa umemaliza. Utakua umepata jibu.
Ahahahha...sio sight mirrors ni side mirror..Sio 'sterling' ni steering ( wheel)! Jiulize: kwa nini sight mirrors hazikuwekwa katikati badala yake ziko pembeni mwa gari?
Ina maana dreva wa trekta yeye waga haoni inapoishia lane yake kweli kiongozi na pia hii haiwezi kuwa sababu ya kisayansi
Sababu ni MOJA tuu......kioatikane nafasi ya mtu mwingine kukaa vizuri mbele.....ki swahili tunaita proper utilizationi ofu lisosezi!Ivi ni sababu zipi za kisayansi ama za kawaida zilizo na zinazosababisha mpaka leo uskani (sterling) ya gari isiwekwe pale katikati bali huwekwa pembeni kushoto ama kulia mwa gari
Wakati kwa kawaida mtu ukiangalia unaona labda ungekaa pale katikati ingekuwa ni rahisi zaidi kwa dereva kuendesha kwa usahihi zaidi na uenda labda ili lingeweza kupunguza ajali za magari barabarani
Kwa yeyote anayejua sababu za kisayansi zinazozuia uskani kukaa katikati karibu atujuze wengine tusio jua izo sababu
sight mirrors-side mirrorsSio 'sterling' ni steering ( wheel)! Jiulize: kwa nini sight mirrors hazikuwekwa katikati badala yake ziko pembeni mwa gari?
kwa hiyo, akiwa kati upande mmoja atakuwa abiria ule wa pili huwe tupu? matumizi mabaya ya vyombo,haina mashikoSio gari linabeba abiria mbele wakiwa siti moja na dereva
Ha ha ha[emoji3][emoji3] Kumbuka kuna left hand alaf tunaovertake right hand.