Hapo umewasingiziaKitu ambacho mmeshindwa kukigundua ni Kwamba,
Hao wakinga wengi hasa wa hapa kariakoo ni wauza DOPE, SEMA wanapenda kujifanyisha na uchawi ili watu wajinga kama nyie msiwagundue😂
Nakumbuka mwaka 2010 tulikutana na Mzee ASAS na vijana wake kwenye seminar ya matumizi ya ruzuku kwa SME'S iliyotolewa na taasisi fulani kwa kushirikiana na serikali. Kwa upande wa nyanda za juu kusini tulikutana Iringa. Nakumbuka aliomba ruzuku ile kukuza uzalishaji wa products za maziwa. Na watoa ruzuku walikuwa wanafadhili 75% ya thamani ya equipments unazozihitaji na kiasi kinachobaki unakitoa mwombaji wa ruzuku. Na sharti ilikuwa lazima u deposit hiyo 25% kwa Suppliers then kiasi kinachobaki wanalipa wao. Mchakato huu ulitick and the rest is history. Watu wanabaki kusema anatumia manyoka. Mzee ASAS na familia yake wamepambana sana kwa mikakati mizito mpaka wanafika hapo.ASAS alitajirikia uwindaji pembe za ndovu huko pori la Ruaha miaka hiyo kabla dunia haijadhibiti. Ila badaye akawekeza kwenye tranport, vituo vya mafuta na ufugaji. Hakuna ushirikina pale
ASAS alitajirikia uwindaji pembe za ndovu huko pori la Ruaha miaka hiyo kabla dunia haijadhibiti. Ila badaye akawekeza kwenye tranport, vituo vya mafuta na ufugaji. Hakuna ushirikina pale
ASAS alitajirikia uwindaji pembe za ndovu huko pori la Ruaha miaka hiyo kabla dunia haijadhibiti. Ila badaye akawekeza kwenye tranport, vituo vya mafuta na ufugaji. Hakuna ushirikina pale
Ipo siku watazagaa kwenye taasisi mbalimbali za serikali, vyombo vya maamuzi na sekta binafsi bila kuacha biashara tutaanza kusema wanatumia ndumba.Kwenye shule hakika wanawasomesha sana watoto wao siku hizi, tena shule nzuri kabisa O-levle na A-level
Unaweza ukafirisika kabla hujafaHata mali yenyewe hawaikuti. Nitakupa mfano wa Rodrick Mahenge..Kwenye miaka ya 1990s alikuwa ana miliki mabasi ya SAFINA zaidi ya 20 yakisafiri kati ya Dar- Mbeya, Iringa na Songea. Alikuwa ndiye mshindani mkubwa wa Scandinavia. Alikufa mwaka 2000 na watoto wake sikuwaona na chochote
IgweeeeeeeeeeeeeeeIpo siku watazagaa kwenye taasisi mbalimbali za serikali, vyombo vya maamuzi na sekta binafsi bila kuacha biashara tutaanza kusema wanatumia ndumba.
Sasa hivi wanapigwa sana na watoza kodi pamoja na ambao wangeweza kuwatetea mahakamani. Walichoamua ni kuwapeleka watoto wao shule ili baadae wawasaidie. Kuna flow kubwa ya watoto wa kikinga kuingia mtaani toka vyuoni.
Kama mali za kishirikina na deal wasingehangaika kuwapeleka watoto wao vyuoni Uingereza, Marekani, Korea na China. Wangewaonyesha waganga wanakopatikana.
Pia Wakinga wanachukua sana mikopo ya kibiashara bank. Na wakichukua wana discipline ya kuzirudisha ili waendelee kuaminika. Kwa wale wenye auditing&accounting firm pamoja na advocacy firm wanaelewa sana hili maana ndio wateja wao pamoja na wachaga.
Na jambo lingine linalowafanya wapige hatua kwa kasi wanashirikiana na kuaminiana sana baina yao. Ni rahisi kwa Mkinga wa Kariakoo kumpa mzigo wa 100M mkinga mwenzie wa Mbeya kwa mali kauli tu akiuza achukue cha juu zingine amrejeshee kwenye account. Hawa jamaa wanakua kwa kasi na kuna mambo ya kuwaiga zaidi ya kuwashutumu kwa ushirikina
Kwa wale ninaofahamiana nao binafsi kwa kweli wana nidhamu sana ya pesa, mpaka kuna wakati unawaonea huruma. Ila siku hizi hata nyumba na magari wanazo nzuri kabisa.Ipo siku watazagaa kwenye taasisi mbalimbali za serikali, vyombo vya maamuzi na sekta binafsi bila kuacha biashara tutaanza kusema wanatumia ndumba.
Sasa hivi wanapigwa sana na watoza kodi pamoja na ambao wangeweza kuwatetea mahakamani. Walichoamua ni kuwapeleka watoto wao shule ili baadae wawasaidie. Kuna flow kubwa ya watoto wa kikinga kuingia mtaani toka vyuoni.
Kama mali za kishirikina na deal wasingehangaika kuwapeleka watoto wao vyuoni Uingereza, Marekani, Korea na China. Wangewaonyesha waganga wanakopatikana.
Pia Wakinga wanachukua sana mikopo ya kibiashara bank. Na wakichukua wana discipline ya kuzirudisha ili waendelee kuaminika. Kwa wale wenye auditing&accounting firm pamoja na advocacy firm wanaelewa sana hili maana ndio wateja wao pamoja na wachaga.
Na jambo lingine linalowafanya wapige hatua kwa kasi wanashirikiana na kuaminiana sana baina yao. Ni rahisi kwa Mkinga wa Kariakoo kumpa mzigo wa 100M mkinga mwenzie wa Mbeya kwa mali kauli tu akiuza achukue cha juu zingine amrejeshee kwenye account. Hawa jamaa wanakua kwa kasi na kuna mambo ya kuwaiga zaidi ya kuwashutumu kwa ushirikina
Kwa hali ya kawaida huwezi kuwa na pesa hlf ukaishi maisha ya shida,,hata hao ambao wanahamasisha nidhamu ya pesa,watasema usitapanye katika mambo ya starehe,lkn kama kula yako ni shida,vaa ni shida na kulala ni shida,hakika kuna shida pahalaHiyo ni changamoto sana na inapelekea hata imani kuwa watu waanatumia nguvu za giza zipate mashiko. Majuzi RC wa Njombe akiongea na wafanyabiashara aliwashangaa kuwa mtu anakufa wanakuta benki ana 500M hadi 600M, lakini maisha yake yalikuwa duni sana na ya kujinyima, hata nyumba tu ni yakuunga unga. Hawa wa hivi wapo ila inawezekana ni exposure ndogo tu ya maisha, wanachojua na kinacho wamotivate ni kutafuta pesa tu bila ya kuweka misingi imara ya hiyo pesa kuendelezwa.
Pesazao hazionekan sababu wanasahau kuandaa vijana wao wakifa mali zinatapanywaUnatunza pesa miaka 15 ili uzipeleke wapi? Mbona wakifa hatuoni hata vizazi vyao vikiendelea na utajiri huo?
Sauli uliyeanza kumsikia ww ni yule wa vipodozi na landmark hotel,huyo ni kweli yupo kwenye game kitambo na alikuwa mbunge wa kipindi kimoja toka 2015 mpaka 2020 rungwe na bado yupo kwenye gameMbona nimeanza kumsikia Sauli miaka mingi itakuwaje awe na miaka 40? Alipata utajili akiwa Primary school?
Ni hili tatizo si la Wakinga tu ni karibu waafrika wengi hatuwapitishi watoto wetu tunamopita ili kufikia mafanikio. Ingawa kwa sasa watoto wa kikinga wakiwa likizo unawakuta dukani kwa wazazi wao au kiwandani wakiendelea na shughuli kama ilivyo kwa wahindi.Hiyo ni changamoto sana na inapelekea hata imani kuwa watu waanatumia nguvu za giza zipate mashiko. Majuzi RC wa Njombe akiongea na wafanyabiashara aliwashangaa kuwa mtu anakufa wanakuta benki ana 500M hadi 600M, lakini maisha yake yalikuwa duni sana na ya kujinyima, hata nyumba tu ni yakuunga unga. Hawa wa hivi wapo ila inawezekana ni exposure ndogo tu ya maisha, wanachojua na kinacho wamotivate ni kutafuta pesa tu bila ya kuweka misingi imara ya hiyo pesa kuendelezwa.
Kuna Sauli mwingine mtu mzima sana ana umri wa miaka zaidi ya 70 ni mmiliki wa hoteli za Landmark pamoja na maduka ya vipodozi S.H. Amon.Mbona nimeanza kumsikia Sauli miaka mingi itakuwaje awe na miaka 40? Alipata utajili akiwa Primary school?
Happ sawa, nilitaka kushangaa.Kuna Sauli mwingine mtu mzima sana ana umri wa miaka zaidi ya 70 ni mmiliki wa hoteli za Landmark pamoja na maduka ya vipodozi S.H. Amon.
Gotcha.Sauli uliyeanza kumsikia ww ni yule wa vipodozi na landmark hotel,huyo ni kweli yupo kwenye game kitambo na alikuwa mbunge wa kipindi kimoja toka 2015 mpaka 2020 rungwe na bado yupo kwenye game
Huyu wa mabasi kaibuka tu from no where😀 mara paap tajiri wa mabasi kibao
saul kumbe kafa?Wewe ulisikia wapi nani atamani utajiri wa kuku Kurushiwa MAHINDI na kula punje 8 nani atamani? Huo utajiri wa hao watu kutoka huko nyanda za juu kusini ni mateso makali yenye kilio R.I.P SAULI
Sauli uliyeanza kumsikia ww ni yule wa vipodozi na landmark hotel,huyo ni kweli yupo kwenye game kitambo na alikuwa mbunge wa kipindi kimoja toka 2015 mpaka 2020 rungwe na bado yupo kwenye game
Huyu wa mabasi kaibuka tu from no where😀 mara paap tajiri wa mabasi kibao
Hii nakubaliana na wewe ni kama wakina Jombi miaka tisini na wengine ambao wako hai na ni matajari hadi leo. Baadhi wamefanya sana biashara za magendo na haramu. Biashara hizi pia ukikiuka masharti ya wenye mfumo kupoteza uhai ni dakika sifuri.Mimi nijuavyo matajiri wengi wa huku wamepata utajiri wao kwa njia ya kimafia, yaani ujambazi, dhulma, utapeli na umafia wa kila namba ie Fulldose, Achimwene,Sauli, etc shida inakuja pindi wakifa na mali pia hufa coz watoto hawawezi kufanya Dili za kimafia kama za wazazi wao. Pia vifo vingi ukivichunguza kuna kulipana kisasi kutokana na umafia uliofanyika
Sawa nakubali kwa Fred Vunjabei, nitajie mwingine.Fredy vunja bei
Rudi kwenye post yangu uliyoijibu kasome kwa utulivu kuhusu ASAS, mshirikina kijana weweMtu mweusi akiwa tajiri mshirika, muarabu akiwa tajiri ni halali? Mnahitaji ukombozi wa fikra wamatumbi.