Kwanini utawala wa Nyerere ulikumbwa na misukosuko mingi ukilinganisha na utawala wa Mwinyi, Mkapa na wengine?

Kung'atuka kwa NYERERE hakukuwa na maana kuwa alishindwa bali alitaka awaweke watu wengine Madarakani na awafundishe watu jinsi gani nchi inatakiwa kuongozwa. Katika kazi yoyote ile Kuna kuwa Kuna mafunzo ya jinsi ya kuifanya kazi husika kiusahihi zaidi. Na mkaguzi wa mafunzo husika hutoa maelekezo ya sehemu za kurekebisha( Ndicho alichofanya NYERERE)-Rejea, migogoro mbalimbali iliyojitokeza baada ya MWINYI kuchukua madaraka(1.Kushuka kwa thamani ya elimu(2) Loliondo(3) Muungano wa TZ,(4)ya kidini(5) OIC ).
KIFUPI: Alichofanya MWINYI Katika marekebisho ya uchumi hata NYERERE alikuwa anaweza kufanya ( si ilikuwa kukubali tu, masharti ya taasisi za kifedha duniani. Sasa NYERERE angeshindwa nini?).
Na NYERERE ali "play role"kubwa sana katika demokrasia ya Tanzania.( Kuwa mfumo wa vyama vingi uanzishwe na watu wapate nafasi ya kumchagua kiongozi wanayemtaka, lakini kwa nafasi ya urais lazima chama husika cha siasa kiwe kimejijenga kwa kuwa na uongozi madhubuti katika kila eneo).
 
Mwinyi kaifanyia makubwa Sana hii nchi,Ila anatukanwa na kudhihakiwa kisa anatokea 'pwani'..aliyeharibu anatukuzwa
 
Unahangaika kutetea ujinga...nyerere asingekua mkosoaji mkubwa wa mwinyi ikiwa mwinyi alikua alifanya vitu ambavyo vimeshapangwa...kile kijembe Cha 'nimekutoeni kwenye foleni ya unga' kinamulika mengi kwenye hoja yako,kubalini dingi alipuyanga
 
Mwinyi kaifanyia makubwa Sana hii nchi,Ila anatukanwa na kudhihakiwa kisa anatokea 'pwani'..aliyeharibu anatukuzwa
Ya hii inashangaza sana kwa kweli. Ila ni kwa sababu watu walikuwa washalishwa propaganda na mtukuzwaji ambae alitaka watu waone kuwa ni yeye tu peke yake ndio alieifanyia makubwa nchi hii. Mwinyi yeye sio mtu wa kujikuza na kujitukuza kama hawa wengine.
 
Unahangaika kutetea ujinga...nyerere asingekua mkosoaji mkubwa wa mwinyi ikiwa mwinyi alikua alifanya vitu ambavyo vimeshapangwa...kile kijembe Cha 'nimekutoeni kwenye foleni ya unga' kinamulika mengi kwenye hoja yako,kubalini dingi alipuyanga
Mkuu huyo kijana anaonekana hana analolijua. Anaonekana kuwa ni mmoja wa watu waliozaliwa miaka ya 90 na kuanza kulishwa propaganda za mtukuzwa, bila wao kujua madhila tuliyopitia kabla ya Mwinyi.

Ki ukweli mwl Nyerere namheshim na kumkubali kwa baadhi ya mambo, ndo maana nimemuweka hata kwa avatar yangu.
Ila kwa upande mungine kuna mambo kibao aliharibu katika nchi yetu, na ilitakiwa mtu mwenye moyo, maono na ujuzi kama Mwinyi aiponye nchi.

Mzee Mwinyi Mungu mwenyez atamlipa kwa yote mazuri aliyolifanyia taifa letu.
 
Cha ajabu ni kusifiwa kuliko hata mzee mwinyi alieleta neema,
Akili kichwani mwako mleta uzi,
Yaliopta si ndwele
 
 
 

Yule wa kituo Cha mafuta pale KCMC Ni Mpenzi wake mpaka leo, anakengine pale Moshi kalevii, kakilewa kanatamba ohhh Nancy amenitumia ya kunywa, mwanamke mchafu sana

Beginning is always hard.
 
Unahangaika kutetea ujinga...nyerere asingekua mkosoaji mkubwa wa mwinyi ikiwa mwinyi alikua alifanya vitu ambavyo vimeshapangwa...kile kijembe Cha 'nimekutoeni kwenye foleni ya unga' kinamulika mengi kwenye hoja yako,kubalini dingi alipuyanga
Hicho kijembe wala hakuwahi kukisikia, hata hizo propaganda alizoandika hapa pia inaonekana wazi kuwa alihadithiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…