Kwanini utawala wa Nyerere ulikumbwa na misukosuko mingi ukilinganisha na utawala wa Mwinyi, Mkapa na wengine?

Kwanini utawala wa Nyerere ulikumbwa na misukosuko mingi ukilinganisha na utawala wa Mwinyi, Mkapa na wengine?

Mao alifanikisha kitu gani China hadi amekuwa na historia kubwa hivyo duniani??!
Legacy yake ni ipi hasa?
Legacy kubwa ya Mao ni kuanzisha serikali ya kikomunist ambayo iliweza kuiondoa serikali ya komintang ulivyokuwa Chini ya Chieng Kai shek.

Chieng Kai shek alikuwa raisi WA China, serikali yake ilipendwa Sana na wafanyabiashara na matajiri wakati huo China ilikuwa na tatizo kubwa la ardhi.

Watu wachache walimiliki maeneo makubwa, huku watu wengi wakiwa hawana ardhi.

Mao aliwahidi mageuzi ya ardhi watu waishio vijijini hivyo wakomyunisti wakapata uungwaji mkono WA kiwango cha juu vijijini na watu maskini wengi.

Na wakati huo Japan aliivamia China, Rai's China Cheng Kai shek alikataa kuingiza jeshi Kwa lengo la jeshi lake kupambana na wakomyunisti, huku akitumai USA kupambana na Japan.

Wakina Mao waliendelea kupambana na Japan mpaka pale Raisi WA China alipotekwa na walinzi wake na kulazimisha kuingiza jeshi na kupambana na wavamizi.

Pia serikali ya China kabla ilinuka rushwa.

Makosa Chei Kai Shek aliyoyafanya China yalimpa somo na hakurudia makosa walipokimbilia Taiwan, na baadae Taiwan ikawa ina maendeleo makubwa kuliko China bara.


Mao alikuwa ni mtu anayejua kushawishi watu Ila kuhusu uchumi ulikuwa ni changamoto kwake.
 
Hivyo watu milioni 40 wanaokadiriwa kufa katika utawala wake kutokona na sera na mipango yake mbalimbali kama "great leap forward" na "cultural revolution" walikufa bure!
Legacy kubwa ya Mao ni kuanzisha serikali ya kikomunist ambayo iliweza kuiondoa serikali ya komintang ulivyokuwa Chini ya Chieng Kai shek.

Chieng Kai shek alikuwa raisi WA China, serikali yake ilipendwa Sana na wafanyabiashara na matajiri wakati huo China ilikuwa na tatizo kubwa la ardhi.

Watu wachache walimiliki maeneo makubwa, huku watu wengi wakiwa hawana ardhi.

Mao aliwahidi mageuzi ya ardhi watu waishio vijijini hivyo wakomyunisti wakapata uungwaji mkono WA kiwango cha juu vijijini na watu maskini wengi.

Na wakati huo Japan aliivamia China, Rai's China Cheng Kai shek alikataa kuingiza jeshi Kwa lengo la jeshi lake kupambana na wakomyunisti, huku akitumai USA kupambana na Japan.

Wakina Mao waliendelea kupambana na Japan mpaka pale Raisi WA China alipotekwa na walinzi wake na kulazimisha kuingiza jeshi na kupambana na wavamizi.

Pia serikali ya China kabla ilinuka rushwa.

Makosa Chei Kai Shek aliyoyafanya China yalimpa somo na hakurudia makosa walipokimbilia Taiwan, na baadae Taiwan ikawa ina maendeleo makubwa kuliko China bara.


Mao alikuwa ni mtu anayejua kushawishi watu Ila kuhusu uchumi ulikuwa ni changamoto kwake.
 
Hivyo watu milioni 40 wanaokadiriwa kufa katika utawala wake kutokona na sera na mipango yake mbalimbali kama "great leap forward" na "cultural revolution" walikufa bure!
Kabisa, Unapolazimisha kuendesha vitu Kwa mtindo WA One Man Army kinachofuata huwa ni majanga.
 
Shida ya Nyerere ilikuwa kumuona kila tajiri ni mwizi kitu ambacho hata chizi hawezi kukifurahia
 
Pole mkuu. Nchi nyingi za kiafrika zilipata uhuru bila ya kuwa na human resources za uhakika za kusaidia uendeshaji wa serikali.
Muda mfupi baada ya nchi hizi kupata uhuru, zilijikuta zikiendelea kutegemea resources za kikoloni kama jeshi, mahakama na hata katiba.
Mwaka 1964 jeshi lilipoasi moja ya sababu kubwa lilipinga kuongozwa na wazungu. Kumbuka mpaka tunapata uhuru, jeshi lilikuwa chini CDF mzungu Brigedia Douglas, na wakati huo jeshi lilikuwa likiitwa KAR-Kings African Rifles. Na ndilo lililoasi mwaka 1964 kwa madai ya kupinga kuongozwa na wazungu na kutaka nyongeza ya mshahara. Mwalimu alitafuta msaada akianzia Kenya na baadaye Uganda na alikuta kote hali ni tete ni Kama wanajeshi waliambiana.
Ilimlazimu kuomba msaada uingereza ambako alipata msaada wa makomandoo 60 na ndio walifanikiwa kuzima uasi 1964. Na baadaye Mwalimu alivunja jeshi lote na kuanza kuunda upya chini ya Cdf wa kwanza wakati Kanali Hagai Mirisho Sarakikya na inasemekana kulikuwa na wanajeshi watatu tu wenye elimu za kijeshi kutoka vyuo vilovyoheshika Kama Sandhurst Uingereza. Mwalimu aliunda jeshi tulilonalo sasa JWTZ. Sasa history ni ndefu Sina hakika naweza kueleza yote, hata hivyo uasi ulitokea tukiwa hatuna itikadi ya ujamaa na utaona nchi nyingi za kiafrika zilizopata Uhuru miaka hiyo bila kujali itikadi zao zilipitia pagumu Sana hususani Africa ya magharibi.
Wakati kina Mwinyi wanaongia mambo yalikuwa yamebadilika Sana, angalau human resources ilikuwa imeongezeka, jeshi limestabilize na hata mahakama.
Lakini viongozi pia kutokana na waliyopitia bila shaka walijawa na woga, na siku zote mtu akiwa muoga hata maamuzi mengi yatakuwa na sura ya kujihami. Nadhani wengine wataongezea au kusahihisha.
Bila shaka huyo aliyeanzisha mada kwa lengo lake maalum, hawezi kamwe kusoma na kuelewa ulichoandika hapa.
Kwa sababu kinapingana na malengo aliyonuia kuyafikia.
 
Aliingia kwenye siasa za kijamaa bila kuwa tayari kulipa gharama kubwa kuzifanya zifanye kazi na kutekelezeka kama ilivyokuwa China chini ya Mao ambaye aliwatoa kafara Wachina million 20 ili kuifanya China ipige maendeleo chini ya Ujamaa.
Uh - Oh!
Hii nayo ni moja ya nadharia ya kufanya 'ujamaa' ufanikiwe, "kutoa kafara"?
 
Legacy kubwa ya Mao ni kuanzisha serikali ya kikomunist ambayo iliweza kuiondoa serikali ya komintang ulivyokuwa Chini ya Chieng Kai shek.

Chieng Kai shek alikuwa raisi WA China, serikali yake ilipendwa Sana na wafanyabiashara na matajiri wakati huo China ilikuwa na tatizo kubwa la ardhi.

Watu wachache walimiliki maeneo makubwa, huku watu wengi wakiwa hawana ardhi.

Mao aliwahidi mageuzi ya ardhi watu waishio vijijini hivyo wakomyunisti wakapata uungwaji mkono WA kiwango cha juu vijijini na watu maskini wengi.

Na wakati huo Japan aliivamia China, Rai's China Cheng Kai shek alikataa kuingiza jeshi Kwa lengo la jeshi lake kupambana na wakomyunisti, huku akitumai USA kupambana na Japan.

Wakina Mao waliendelea kupambana na Japan mpaka pale Raisi WA China alipotekwa na walinzi wake na kulazimisha kuingiza jeshi na kupambana na wavamizi.

Pia serikali ya China kabla ilinuka rushwa.

Makosa Chei Kai Shek aliyoyafanya China yalimpa somo na hakurudia makosa walipokimbilia Taiwan, na baadae Taiwan ikawa ina maendeleo makubwa kuliko China bara.


Mao alikuwa ni mtu anayejua kushawishi watu Ila kuhusu uchumi ulikuwa ni changamoto kwake.
Mao kwenye uchumi alijitahidi kwa nafasi yake lakini kiuhalisia hakufanikiwa sana ndio maana sera zake Kama great leap forward na cultural revolution zilipata upinzani hata ndani ya chama na kuzalisha faction kukawa na wanaosupport sera na wanaopinga sera Mao Zedong, zhuo enlai, hua Guefeng na gang of four walizisupport sera na kulazimisha kutekelezwa huku Deng Xiaoping , Xi Zhongxun [ baba yake na Xi Jinping ] walizipinga sera kwa Sana ilipelekea kusimamishwa na chama na kufungwa vifungo vya nyumbani wengine waliuliwa na gang of four. Baada ya Deng Xiaoping kuchukua hatamu baada ya Mao Zedong kufa aliwafyeka gang of four wote
 
Hapa kuna jambo zuri umeandika, inaonekana sera za ujamaa za Nyerere ndio zilisababisha hasira za baadhi ya wananchi.

Matokeo yake uhaba wa kupatikana mahitaji muhimu ya binadamu ndio ilikuwa chanzo kikuu, mfano sabuni nk.

Lakini sasa nashindwa kuelewa, kama watanzania wa wakati ule walikuwa wameamka kwanini hiki kizazi cha sasa kimelala?

Tunaona baadhi ya wanajeshi walitaka kumpindua, hii maana yake jeshi lilikuwa na macho ya kuona hali halisi ilivyokuwa kwenye jamii ya watanzania.

Vipi kizazi hiki jeshi halioni tatizo lolote? au kuna heshima ya kinafiki ya uoga kati ya jeshi letu na viongozi wa serikali?

Naandika hivi kwasababu naamini hata sasa kuna mengi yanayotakiwa kufanyika ili nchi yetu irudi kwenye mstari wake, mojawapo la msingi zaidi ni utii wa sheria zetu toka kwa viongozi wa serikali Rais akiwa mkuu wao.
Ni kwasababu, hatuoni picha kubwa. Picha kubwa ni kwamba raisi yoyote wa afrika akiwa na hulka ya kujenga nchi wakoloni/mabeberu wanamsumbua kupitia watu wanaitwa mercenaries. Hawa watu alikua anawaongelea nyerere kipindi kile cha utawala wake. Alikua anasema kuna watu "malaya malaya hivi", wanafanya chochote kwa kununuliwa na pesa za wakoloni. Rudi tafuta hotuba za nyerere utazipata.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Nakudanganya wewe
Kitu ambacho watu wanashindwa kuelewa ni kwamba nyerere alikua anapambana na mabeberu/wakoloni. Waliondoka lakini bado walikua wanawatu wao nchini wa kuhakikisha utawala na unyanyaji unaendelea kisirisiri. So kwa nn mwinyi hakukutana na matatizo. Ni simple, ni kwa sababu alikua alikua hasumbuani na wakoloni. Aliwapa ruksa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
JKN alipata kisuko suko mingi katika serikali yake kwanza ni sera yake ya ujamaa ambayo ilifeli vibaya dhidi ya sera za kibepari ukizingatia nchi ndio kwanza inaanza kusimama...

alipata upinzani mkubwa sana hasa ndani ya nchi mana wengi walijawa uchu wa madaraka na kuzionaa sera zake za kijamaa ni sera kandaminzi na za kimasikini mna wafanyabiashara wakubwa walinyangangwa mali zao nyingi zilitaifishwa na viongozi wa chama naserikari kuwekewa vizuizi vingi katika suala la umiliki wa mali kupitia azimio la arusha..

Vita vya uganda navyo viliangusha sana uchumi wa nchi...na kusababisha hali ngumu sana ya kiuchumi.

Ila he was and always will remain the best president mpaka sasa katika nchi hii.

#MaendeleoHayanaChama
Mbona wachina walifanikiwa na sera za kijamaa kama ni za kimasikini.
Kwa kifupi mzee alikua amekaliwa shingoni na mabeberu. Kama mgabe alivokua amekaliwa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Shukrani mkuu kwa kutuwekea kile unachokijua kuhusu uongozi ule wa awamu ya kwanza. Bila shaka washauri wake pia hawakuwa wazuri, maana walishindwa kumshauri mwl asome alama za nyakati kuhusiana na siasa za kijamaa.
Wangemshauri nini na katika Nick names zake, moja ni "haambiliki"
 
Mbona wachina walifanikiwa na sera za kijamaa kama ni za kimasikini.
Kwa kifupi mzee alikua amekaliwa shingoni na mabeberu. Kama mgabe alivokua amekaliwa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
China hawakufanikiwa na mfumo WA kijamaa kama unavyodai.
Tangu mwaka 1978 China ilianza kufanya mageuzi ya kiuchumi. Moja ya reforms waliofanya ni kuanzisha special economic zones kwenye majimbo manane ya kusini.


Haya majimbo yalkiuwa Kwa ajili ya kujaribu market economy(ubepari) ambalo serikali za majimbo zilipewa mamlaka ya utekelezaji WA Sera za kibepari kuvutia wawekezaji kutoka nje na ndani

Na mwaka 1984 China ikaanzisha Nation Economic and Technology Development Zones kwenye mikoa 14

Moja majimbo hayo ni Shenzhen na Guangzhou kiujumla, na hiyo mikoa Nane ikatokea ikawa inachangia zaidi ya 50% ya GDP ya China wakati huo.

Shenzhen ilikuwa ni kijiji cha wavuvi lakini Leo inaitwa silicon valley ya china
Ni kipindi hiko kampuni nyingi za USA, Europe, Japan walihamisha uzalishaji kwenda China, na serikali ikawa ina-transfer teknolojia na kuiba pia kupitia makampuni yaliyotaka kuwekeza China.

Kiujumla China inafuata model ya Japan
 
Habari zenu wana JF wenzangu. Ama baada ya salamu, ningependa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu zangu watanzania, baba yetu wa Taifa mwl Julius K Nyerere aliiongoza nchi yetu kwa muda wa miaka 25. Kwa muda wote huo wa uongozi wake, nchi yetu ilikumbwa na misuko suko mingi ambayo haikuja kutokea katika tawala zingine. Mfano wakati wa utawala wa Nyerere tuliona majaribio mawili ya mapinduzi yalioshindwa, hali iliyopelekea mzee wetu aamue kung'atuka mwenyewe kabla haja ng'atuliwa, maana kwa hali ya nchi ilivyokuwa kipindi kile bila shaka mwenyewe aliona kwamba asingeweza kumaliza miaka mingine mitano akiwa madarakani.

Lakini pia ukiachana na hayo ya mapinduzi pia kulikuwa na misuko suko mingine, mfano yale mauaji yaliosababisha waziri wa mambo ya ndani wa wakati ule mzee wetu mh Ally H Mwinyi kujiuzulu uwaziri. Pia kulikuwa na misuko suko mingine iliyopelekea kina mzee Kawawa, bibi Tito Mohammed na wengineo kufungwa jela. Lakini kama hiyo haitoshi, wapo waliamua kukimbia hata nchi na kwenda kuishi ughaibuni, mfano mzee wetu hayati Oscar Kambona na wengineo.

Hapo sijagusia ukosefu wa vitu muhimu nchini kama vile chakula, mafuta ya kupikia na ya taa, ukosefu wa madawa hospitalini, usafiri kuwa washida mpaka yakaletwa yale magari yalioitwa chai maharage, mzunguko wa pesa mtaani ukawa wa mdondo. Nguo, viatu, soksi, mafuta ya kupaka, sabuni navyo vikawa havipatikani.

Cha kushangaza alipoondoka mwl Nyerere na kuingia Mwinyi, hali ilibadilika kwa kiasi kikubwa. Hakuna aliethubutu kuwaza tena mapinduzi, bidhaa zote muhimu zilipatikana kwa urahisi mitaani. Mzunguko wa pesa ukawa mkubwa, mitumba ya nguo, viatu, soksi kila kona, madawa yakawa mengi hospitalini mpaka watu wakaamua kufungua na zahanati zao. Pia hakuna aliewaza tena kukimbia nchi, isipokuwa tuliishuhudia wale waliokimbia utawala wa kwanza wanaaza kurejea katika utawala huu wa pili nk.

Hali hii aliyoanza nayo Mwinyi, naona imeendelea hadi leo. Je, ni kwanini misuko suko ilikuwa zaidi wakati wa awamu ya kwanza na sio awamu zingine? Je mwl Nyerere alihujumiwa au sera zake mwenyewe ndio zili muhujumu? Inamaana mzee Mwinyi kwa kutumia uwezo wake na cheo chake aliweza kulisuka vizuri jeshi letu na kurejesha utiifu wao kwa serikali yao na raisi wao? Je inamanaa Mwinyi hakuwa na maadui wa kuitingisha serikali yake, hadi kupelekea wengine kukimbia kama walivyokimbia awamu ya kwanza? Mwenye kujua zaidi sababu zilizopelekea mwl Nyerere kushindwa kuituliza hali, hadi kuamua kung'atuka anakaribishwa kutujuza. Asanteni sana kwa kunisoma?
60s to late 80s,that was cold war era,west against eastern block,USA,UK against Soviet blocs
 
Bila Nyerere kuweka misingi ya amani hakuna kiongozi ambaye angekuja kufanya lolote.
Nyerere alikazania utaifa ndio.maana alifanya maamuzi magumu ya kutaifisha shule ili watu was imani zote wasome bila kufanya hivyo ai ajabu mtoa mada ungekuwa madongo kuinama.
Alihakikisha rasilimali za taifa zitumike kwa manufaa ya taifa ndio maana pamoja na kujua uwepo was dhahabu na madini mengine aliamua kusoma wataalamu badala ya kuingia mikataba ya kitapeli ingawa Nate kama binadamualikuwa na mapungufu mambo mengi alifanya kwa manufaa ya ya taifa.
 
60s to late 80s,that was cold war era,west against eastern block,USA,UK against Soviet blocs
Oh ndo maana nchi nyingi za Africa ikiwemo Tanzania ziliathiriwa na cold war zile. Kwahiyo hii ilisababisha kwa namna fulan nchi isitawalike?
 
Back
Top Bottom