Naona wametupia nafasi za kazi TBC[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatujawazoea hivi utumishi tunataka watoe wakande watu waje huku tupeane pole hahhh
Daaahh, hapa ndio huwa tunasema hizi selected for oral ni kwa utashi wa mtu tu.Oral tuliingia 12 kwahyo ni 6 ratio 1
Ndio mkuu maana itakuwa ni habari mpya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watoe tuanze kuwajadili hahhh
Kutupia nafasi huwa ni chapu sana.Naona wametupia nafasi za kazi TBC
Ni za contract kumbeNaona wametupia nafasi za kazi TBC
Ajira nchii hii imekaa kisiasa sana dahKutupia nafasi huwa ni chapu sana.
Shortlist sasa ndio miezi, huku babalao Placements ndio likishika mkia
πππSiasa mpaka kwa majoblessAjira nchii hii imekaa kisiasa sana dah
Kwamba placement ndo anashika mkia hahhhhKutupia nafasi huwa ni chapu sana.
Shortlist sasa ndio miezi, huku babalao Placements ndio likishika mkia
Yani angalau placement zikitoka hata kama hazikuhusu unafarijika mkiwa mnajadiliWatoe hata placements basi tuijadili na kujifariji, mara paap mwezi unaisha, sio kama hivi ilivyo kimya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna pisi yangu ilinitema kisa shekeri(mali za kaisari) niliona tu nikipiga simu nafokewa kama mtoto sijakaa vizuri akaolewa kabisa hahhhh
Ss tulipiga na practicalDaaahh, hapa ndio huwa tunasema hizi selected for oral ni kwa utashi wa mtu tu.
Written yangu ya mwisho ilihitaji watu wawili, wakaitwa watu 8 tu, hadi namba kumi na 13 tulipiga zaidi ya 50 ila tukatemwa.
Wangechukua kwa ratio hii(1: 6) ningeiona oral ya kwanza
Sio mkia tu, tena ncha ya mkia [emoji3][emoji3][emoji3]Kwamba placement ndo anashika mkia hahhhh
Placement mvivu sana ππKutupia nafasi huwa ni chapu sana.
Shortlist sasa ndio miezi, huku babalao Placements ndio likishika mkia
Mwez huu nadhan placement zitatokaPlacement mvivu sana ππ
Hawa hawaeleki.... kusubiria placement ni kipengele kuliko kusubiria interview. Yaani kuna pressure balaaMwez huu nadhan placement zitatoka
Sana aiseeh kunaleta pressure sanaHawa hawaeleki.... kusubiria placement ni kipengele kuliko kusubiria interview. Yaani kuna pressure balaa
Ile fikra ya kujua soon unaweza aga ujobless inatafuna balaaSana aiseeh kunaleta pressure sana
Unaweza kushangaa na huu mwez ukapita sioHawa hawaeleki.... kusubiria placement ni kipengele kuliko kusubiria interview. Yaani kuna pressure balaa
AhahahaIle fikra ya kujua soon unaweza aga ujobless inatafuna balaa