Possible kabisaUnaweza kushangaa na huu mwez ukapita sio
Aisee lakn ukifatilia vzur ni huu mwaka tu ndo wamekua hviPossible kabisa
Ila huu mwaka ndio walikua busy zaidi ya miaka mingine. However sio sababu ya kuchelewaAisee lakn ukifatilia vzur ni huu mwaka tu ndo wamekua hvi
😂😂😂😂 Ujobless unatesa kiongozi asikwambie mtu ukiona umefika hata oral unashukuru Mungu aseehIle fikra ya kujua soon unaweza aga ujobless inatafuna balaa
Ngoja tuone labda na sensa ilisababisha vitu vikwameIla huu mwaka ndio walikua busy zaidi ya miaka mingine. However sio sababu ya kuchelewa
Kuna yule mwenye kaunda sutiIla sura ya huyo mwamba hapo mbele imekaa kukandwa kandwa sijui kama alitoboa mchujo🤣🤣🤣🤣
🤣 🤣 🤣 dah wanachekesha sana wadauKuna yule mwenye kaunda suti
😂😂😂😂Huyo mwamba itakuwa ndo ilikuwaga mara ya kwanza hiyo yupo kama anataka kukimbia hiviIla sura ya huyo mwamba hapo mbele imekaa kukandwa kandwa sijui kama alitoboa mchujo🤣🤣🤣🤣
Utumishi mambo meng dah post unsbria miezi 5 kuitw t interview inasktishaIla huu mwaka ndio walikua busy zaidi ya miaka mingine. However sio sababu ya kuchelewa
🤣🤣🤣 anaonekana kama katoka chuo juzi huyuIla sura ya huyo mwamba hapo mbele imekaa kukandwa kandwa sijui kama alitoboa mchujo🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Huyo mwamba itakuwa ndo ilikuwaga mara ya kwanza hiyo yupo kama anataka kukimbia hivi
Yan kama tra, naot ni balaa mzeeUtumishi mambo meng dah post unsbria miezi 5 kuitw t interview inasktisha
hahhhh kijana kapigwa trab na trat mapema sana😂😂😂😂Ahahah ni hatar yan kabla ya pepa kijana anaonesha matokeo yake yatakuwaje
🤣🤣🤣 anaonekana kama katoka chuo juzi huyu
JamaniIla sura ya huyo mwamba hapo mbele imekaa kukandwa kandwa sijui kama alitoboa mchujo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kakaa kinyonge sanaIla sura ya huyo mwamba hapo mbele imekaa kukandwa kandwa sijui kama alitoboa mchujo🤣🤣🤣🤣
Na hapo bado hajakandwa 🤣🤣Kakaa kinyonge sana
Wakuu hivi LATRA mbona wanachelewa sana kuita usaili?