Naona tusubiri tu watoe placementStatus Ilikua inabadilika sana wakuu mara irudi kwenye selected for PRACTICAL mara iende oral ila Mwisho wa siku ikatulia hapo kwenye oral mpka Leo
Ulipiga interview ganShortlisted mzee
Ulipiga interview gan
Mlikua na prac au ni written na oral tuOcean road mwezi wa tisa
Written na oral tuMlikua na prac au ni written na oral tu
Jiandae kuripoti kazn sasaWritten na oral tu
πππππoya hapo juu siwamesema selected for oral ndo inakuwa umekula shavu la kazi??Jiandae kuripoti kazn sasa
Mkiwa wachache halafu kada yenu haina prac, mtaenda oral moja kwa moja.Na kuna wale hawan written ni oral tuuu
Si wanasema kwa wale wenye pracπππππoya hapo juu siwamesema selected for oral ndo inakuwa umekula shavu la kazi??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oya hapo juu siwamesema selected for oral ndo inakuwa umekula shavu la kazi??
πππππHahhhh wakikandwa au sio?Mkiwa wachache halafu kada yenu haina prac, mtaenda oral moja kwa moja.
Ila kama ina Prac, mtaanzia hapa. Mkikandwa hamuendi oral hata kama mpo 2 au mmoja.
ππππnaona hazieleweki hizi mzee ile oral yenyewe ilikuaga ngumu hatariSi wanasema kwa wale wenye prac
ππππnaanda nauli apa naona interview hazipo mbali mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utajua hujui placement ikitoka.
Ila tuombe Muumba afanye miujiza
Najua ulijibu kwa confidence kaka π€£ π€£ππππnaona hazieleweki hizi mzee ile oral yenyewe ilikuaga ngumu hatari
ππππConfidence ilikuepo tu ila majibu yote yauongo maana kukubali Kwamba hiki sijui bora nikudanganye tu utaenda kuchagua mwenyewe mbele kwa mbeleNajua ulijibu kwa confidence kaka π€£ π€£
Aseee mambo yatakua mazur nna imanππππConfidence ilikuepo tu ila majibu yote yauongo maana kukubali Kwamba hiki sijui bora nikudanganye tu utaenda kuchagua mwenyewe mbele kwa mbele
Tuombe heri tu kiongoziAseee mambo yatakua mazur nna iman
Hakika chief maana haya mambo ya shortlisted na selected yatatufanya tuchanganyikiweTuombe heri tu kiongozi
ππππdaaaah yani hizi status nafungua kila mda labda italeta selected lakini wapi imegoma kabisaHakika chief maana haya mambo ya shortlisted na selected yatatufanya tuchanganyikiwe
Je kama selected ndio umekandwa π€£ππππdaaaah yani hizi status nafungua kila mda labda italeta selected lakini wapi imegoma kabisa