Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na kuna wale hawan written ni oral tuuu
Mkiwa wachache halafu kada yenu haina prac, mtaenda oral moja kwa moja.

Ila kama ina Prac, mtaanzia hapa. Mkikandwa hamuendi oral hata kama mpo 2 au mmoja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oya hapo juu siwamesema selected for oral ndo inakuwa umekula shavu la kazi??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utajua hujui placement ikitoka.

Ila tuombe Muumba afanye miujiza
 
Mkiwa wachache halafu kada yenu haina prac, mtaenda oral moja kwa moja.

Ila kama ina Prac, mtaanzia hapa. Mkikandwa hamuendi oral hata kama mpo 2 au mmoja.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hahhhh wakikandwa au sio?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utajua hujui placement ikitoka.

Ila tuombe Muumba afanye miujiza
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚naanda nauli apa naona interview hazipo mbali mkuu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Confidence ilikuepo tu ila majibu yote yauongo maana kukubali Kwamba hiki sijui bora nikudanganye tu utaenda kuchagua mwenyewe mbele kwa mbele
Aseee mambo yatakua mazur nna iman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…