Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hawa jamaa hawako serious, naambiwa not shortlisted kwa sababu sikuambatanisha cheti cha chuo.. Imagine nyingine nilikua naitwa huko nyuma, kwamba nilikitoa wakati wa kuomba NAOT?
 
Hawa jamaa hawako serious, naambiwa not shortlisted kwa sababu sikuambatanisha cheti cha chuo.. Imagine nyingine nilikua naitwa huko nyuma, kwamba nilikitoa wakati wa kuomba NAOT? View attachment 2387212
Hawa hawaeleweki nilishawahi kutwa na hii incident nilikua na positions mbili nimeomba moja imekubaliwa nyingine wananipa sababu hii.
 
Nitafanya hivyo .. kiukweli wasiponipa nafasi nitafuta acc hii kabisa, yani mtu unatumia muda wako kujiandaa then hata kuitwa ndo inakua magumashi
Watafute mzee kuna jamaa yangu aliwacheki wakamuita majina ya nyongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…