😂😂😂😂Unakutana na pepa hiyo haiangaliki na passmark ya 70Mkeka una nyomi la kutosha sipt picha huo mkando utakaojiri hahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Unakutana na pepa hiyo haiangaliki na passmark ya 70Mkeka una nyomi la kutosha sipt picha huo mkando utakaojiri hahah
Kila la heri mkuuNimetwa zote mbili
Heslb+NAOT.ngoja tukakandwe
Poa poa mkuuKila la heri mkuu
Jiandae tu mkuu nafasi sizilikua nyingi?unaweza kuwakanda piaNimetwa zote mbili
Heslb+NAOT.ngoja tukakandwe
Mbona mimi sijauonaHuu mkeka sio mwepesi umeshiba
Haha umenyofolewa gafla naona kuna marekebisho madogo utarudishwa tena tuMbona mimi sijauona
Mkuu tupia pdf kama ulifanikiwa kuidownloadHaya jobless walioomba NAOT wakaanglie names zao
Huo hapo mkekaMkuu tupia pdf kama ulifanikiwa kuidownload
Shukrani mkuuHuo hapo mkeka
Duh wanazingua hawa jamaaaHawa jamaa hawako serious, naambiwa not shortlisted kwa sababu sikuambatanisha cheti cha chuo.. Imagine nyingine nilikua naitwa huko nyuma, kwamba nilikitoa wakati wa kuomba NAOT? View attachment 2387212
Hawa hawaeleweki nilishawahi kutwa na hii incident nilikua na positions mbili nimeomba moja imekubaliwa nyingine wananipa sababu hii.Hawa jamaa hawako serious, naambiwa not shortlisted kwa sababu sikuambatanisha cheti cha chuo.. Imagine nyingine nilikua naitwa huko nyuma, kwamba nilikitoa wakati wa kuomba NAOT? View attachment 2387212
Wapigie au watumie email watakuita tu kabla ya usailiHawa jamaa hawako serious, naambiwa not shortlisted kwa sababu sikuambatanisha cheti cha chuo.. Imagine nyingine nilikua naitwa huko nyuma, kwamba nilikitoa wakati wa kuomba NAOT? View attachment 2387212
HELSB Loan Officer position 48 wameitwa watu 3000+[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui hata wangapi lakini zilikuwaga nafasi nyingi kwahiyo kutoboa uhakika
Wapigie simu au watumie email wakuweke kwenye additional names ukafanye interview it's possible.Hawa jamaa hawako serious, naambiwa not shortlisted kwa sababu sikuambatanisha cheti cha chuo.. Imagine nyingine nilikua naitwa huko nyuma, kwamba nilikitoa wakati wa kuomba NAOT? View attachment 2387212
Nitafanya hivyo .. kiukweli wasiponipa nafasi nitafuta acc hii kabisa, yani mtu unatumia muda wako kujiandaa then hata kuitwa ndo inakua magumashiWapigie au watumie email watakuita tu kabla ya usaili
Watafute mzee kuna jamaa yangu aliwacheki wakamuita majina ya nyongezaNitafanya hivyo .. kiukweli wasiponipa nafasi nitafuta acc hii kabisa, yani mtu unatumia muda wako kujiandaa then hata kuitwa ndo inakua magumashi
Hizo nyingi sana mkuu nenda chamuhimu ukafaulu written tuHELSB Loan Officer position 48 wameitwa watu 3000+
NAOT Economist Grade 2 position 2 wameitwa watu 1500+