Tatizo lipo kwenye referee haukuweka watatu,maybe uadd wafike watatu afu uapload CV upya then uwacall but kama walisha download wanaweza kukuzi
mara nyingi Huwa inakua ivyo..ajarIbu lkn uwez juaSidhani kama wanaweza kukuadd hiyo ndo inakuwa imeshatoka, mimi baada ya kurekebisha nilitakiwa kheri kwenye interviews zijazo tu, ukitaka kucontact nao kabla ya kulog in kwenye account yako ukibonyeza pale juu kwenye menu kama unataka kulog in chini kabisa wamekuandikia feedback pale ndo utawaambia tatizo lako. So you can try kuwaambia tatizo lako mkuu, ila navyojuwa mimi wakisha kutoa kisa Kuna upungufu fulani ujuwe ndo imekula kwako we rekebisha then jiandae na interviews zijazo.