Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tatizo lipo kwenye referee haukuweka watatu,maybe uadd wafike watatu afu uapload CV upya then uwacall but kama walisha download wanaweza kukuzi

Sidhani kama wanaweza kukuadd hiyo ndo inakuwa imeshatoka, mimi baada ya kurekebisha nilitakiwa kheri kwenye interviews zijazo tu, ukitaka kucontact nao kabla ya kulog in kwenye account yako ukibonyeza pale juu kwenye menu kama unataka kulog in chini kabisa wamekuandikia feedback pale ndo utawaambia tatizo lako. So you can try kuwaambia tatizo lako mkuu, ila navyojuwa mimi wakisha kutoa kisa Kuna upungufu fulani ujuwe ndo imekula kwako we rekebisha then jiandae na interviews zijazo.
mara nyingi Huwa inakua ivyo..ajarIbu lkn uwez jua
 
mara nyingi Huwa inakua ivyo..ajarIbu lkn uwez jua
Yeah ajaribu tu, ila kama ikatokea wakamuuliza kitu halafu akawadanganya mfano wamuulize kama ameupload recently baada ya shortlists kutoka na akakataa halafu wakacheki kule wakaona kuwa ameupload recently ataloose trust na integrity kwao maana next time anaweza akapata tatizo but wakashindwa kumuamini kama watacheki kwa records na kuona kuwa same user/account or email deceived them before.
 
Haya jobless walioomba NAOT wakaanglie names zao
Nimeitwa aisee, ngoja nikakamilishe ratiba ya mwaka huu, mikando non stop.

Hadi sasa PSRS wana clean sheet dhidi yangu halafu huu wa NAOT sina muongozo wowote, itakuwa vituko huko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kale kabaridi ka udom utumishi aseeh acha afu ndo ukute pepa ni nzito
Siku ya kwanza kwenda pale nilikuwa natetemeka hatari[emoji3][emoji3][emoji3], nilivaa shati jepesi baridi ikaingia hadi kwenye mifupa
 
Back
Top Bottom