billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Ok,nimekupata mlumbi..Inabidi ufaulu oral halafu ukose nafasi(kituo cha kazi) kwa muda huo
Soma wadudu na zile inventory proceduresBado giza mkuu, sijui nisome wapi..
Hii nafasi ni mambo ya ukaguzi.
Sijui nijisomee mambo ya ukaguzi au wadudu[emoji134][emoji134]
π€£π€£ mda wa Mkando vipi mkuu mfano wakikuletea maswali waliyotoa written ulizofanya utaweza kuyajibu au baada ya kutoka kwenye Pepa na maswali uliyaacha hapo hapo anzia hapo kwanza mkuuBado giza mkuu, sijui nisome wapi..
Hii nafasi ni mambo ya ukaguzi.
Sijui nijisomee mambo ya ukaguzi au wadudu[emoji134][emoji134]
Sikufikiria hilo mkuu, huenda lipoKwani hawana means ya kujua kwamba umefanya marekebisho kipindi kipi
π€£π€£ mda wa Mkando vipi mkuu mfano wakikuletea maswali waliyotoa written ulizofanya utaweza kuyajibu au baada ya kutoka kwenye Pepa na maswali uliyaacha hapo hapo anzia hapo kwanza mkuu
Hiyo nzuri kupitia pitia maswaliππππMimi huwa nikitoka naanza kujiacess kwanza maswali yote nijue nimejibu sahihi au vipi
sawa mkuuSoma wadudu na zile inventory procedures
Hahahhaaaa, maswali mengi niliyoyashindwa niliyafanyia masahihisho mapema.[emoji1787][emoji1787] mda wa Mkando vipi mkuu mfano wakikuletea maswali waliyotoa written ulizofanya utaweza kuyajibu au baada ya kutoka kwenye Pepa na maswali uliyaacha hapo hapo anzia hapo kwanza mkuu
Huwa hawarudii mkuu nimefanya interview kama tano lakini swali lililojirudia ni moja tu mzee tena kwenye mitihani miwili tuHahahhaaaa, maswali mengi niliyoyashindwa niliyafanyia masahihisho mapema.
Ila nasikia huwa hawana tabia ya kurudia maswali
Kawaida mie oral nimekutana na maswali mawili yamejirudia la presentation vile vile na advantage ya technology kwenye elimu au kwenye kufundishia so mpka hapo nakua nimebaki na kujieleza education background ambayo najua ni lazima so hapo kwa mahesabu nakua nimepata maswali matatu yote oral so nabaki na maswali mawili moja Toka kwenye nilichopresent ambalo ni asilimia 80 ya kulipata na jingine kuhusu kazi so hata wakiniuliza job description najibu tu so kwa mahesabu nakua nimejibu maswali yote kwa uhakika Sasa hapo no wao wanipe kazi au waninyime kazi π€£π€£π€£Hahahhaaaa, maswali mengi niliyoyashindwa niliyafanyia masahihisho mapema.
Ila nasikia huwa hawana tabia ya kurudia maswali
Unajua interview yakufundisha chuo huwa naona nyepesi sana siwezi kushindwa kudefend kitu nilichokifundisha tofauti na hizi zingine unapigwa swali hujui hata limetoka wapiKawaida mie oral nimekutana na maswali mawili yamejirudia la presentation vile vile na advantage ya technology kwenye elimu au kwenye kufundishia so mpka hapo nakua nimebaki na kujieleza education background ambayo najua ni lazima so hapo kwa mahesabu nakua nimepata maswali matatu yote oral so nabaki na maswali mawili moja Toka kwenye nilichopresent ambalo ni asilimia 80 ya kulipata na jingine kuhusu kazi so hata wakiniuliza job description najibu tu so kwa mahesabu nakua nimejibu maswali yote kwa uhakika Sasa hapo no wao wanipe kazi au waninyime kazi π€£π€£π€£
Upo sawa kabisa mkuu ya kufundishia ni nyepesi sana kuliko hizi zingine utapigwa maswali mpka ushangae useme jamani na hili swali linaruhusiwa π€£π€£π€£Unajua interview yakufundisha chuo huwa naona nyepesi sana siwezi kushindwa kudefend kitu nilichokifundisha tofauti na hizi zingine unapigwa swali hujui hata limetoka wapi
ππππKuna swali unapigwa mpaka unajiuliza kwahiyo na hili ilitakiwa nilisome Mimi hahhUpo sawa kabisa mkuu ya kufundishia ni nyepesi sana kuliko hizi zingine utapigwa maswali mpka ushangae useme jamani na hili swali linaruhusiwa π€£π€£π€£
ππππKuna swali unapigwa mpaka unajiuliza kwahiyo na hili ilitakiwa nilisome Mimi hahhUpo sawa kabisa mkuu ya kufundishia ni nyepesi sana kuliko hizi zingine utapigwa maswali mpka ushangae useme jamani na hili swali linaruhusiwa π€£π€£π€£
Noma sanaππππKuna swali unapigwa mpaka unajiuliza kwahiyo na hili ilitakiwa nilisome Mimi hahh
Walishakupa mkuu, ulikonga nyoyo zaoKawaida mie oral nimekutana na maswali mawili yamejirudia la presentation vile vile na advantage ya technology kwenye elimu au kwenye kufundishia so mpka hapo nakua nimebaki na kujieleza education background ambayo najua ni lazima so hapo kwa mahesabu nakua nimepata maswali matatu yote oral so nabaki na maswali mawili moja Toka kwenye nilichopresent ambalo ni asilimia 80 ya kulipata na jingine kuhusu kazi so hata wakiniuliza job description najibu tu so kwa mahesabu nakua nimejibu maswali yote kwa uhakika Sasa hapo no wao wanipe kazi au waninyime kazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
This is so amazing 5000+ kwa nafasi ngp??? Hapo written yake ya kibabe