Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tena me naomba mwezi huu wa sensa watoe hyo MIKEKA ya Usaili watu waroho kama hawa wananitibua sana.. MIKEKA itoke huko PSRS halafu waamue 1
 

Uko sahihi sana Mkuu.
 

Duh! Hili nilikuwa na wasiwasi nalo wengi litawakuta.
 
Hizi shuhuli za usahili ilikwisha kuwa decentralised long time ago chini ya civil sector reform. Sasa wakaicentralise upya na huo ndio ukiritimba wenyewe. Sijui tutaondokana lini na hii mifumo ya kikomunist/political/tribalistic very sad.
 
wakuu wa kuidhinisha waliofaulu kupangiwa sehemu za kazi hukaa kikao mara 4 kwa mwaka.
na ndio vikao hivyo huamua majina ya wasakatonge
Acha uongo usio na maana.. Vikao vi4 wanazungumza nn..Yaan suala la kuangalia waliofaulu na kurelease majina ndo wake vikao 4.. Umesikia mkeka wa Ma-DED wa Halmashauri..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…