Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nawaza kuna ambao kwa sababu ya kuchelewa kupewa mrejesho, imebidi waendelee kuomba nafasi mpya zinazotoka. Shida ni kumbe kwenye maombi au taarifa walizopandisha kwenye mfumo, kukawa na dosari bila ya wao kujua chochote. Pengine makosa ya uandishi wa barua, vyeti kitopitiwa na wanasheria, au hata kutoonekana vizuri kwenye pdf.

Majibu yanakuja kutoka, wanagundua kinachosababisha wasiitwe ni hayo makosa yaliyopo wakati anafanya maombi yote na kwa hivyo hawana vigezo vya kuitwa kwenye kazi zote walizoomba.
Kuna points muhimu sana hapo.. yaan Bora wakiwa wanaita Usaili tena mapema Kam una mistake Fulani utaijua maana wataonesha kwenye my application then kwa nafasi zingine rahisi kurekesbisha Ila kwa Hali hii mtu anajikuta anaomba kazi 10 na Kila ombi Lina Kosa fulani tena la kujirudia
 
Kuna points muhimu sana hapo.. yaan Bora wakiwa wanaita Usaili tena mapema Kam una mistake Fulani utaijua maana wataonesha kwenye my application then kwa nafasi zingine rahisi kurekesbisha Ila kwa Hali hii mtu anajikuta anaomba kazi 10 na Kila ombi Lina Kosa fulani tena la kujirudia
Naona tuwe na uzi wa kuelezea makosa yaliyosababisha rejection za PSRS, wote waliowahi kuwa rejected kwa makosa hayo wafunguke ili tujirekebishe
 
Inakuwaje wakuu ? Naona Leo wamenipa reason ya why sijawa shortlisted kwenye kazi nliyoomba. na hapa nlishaaply sehemu kama tano Hivi huku tayari application zishafungwa now, na zote nimeapply nikiwa nimeweka referees wawili tu (maybe that's a reason why sijawa shortlisted, I was told we gotta have at least three referees). Sasa vipi nikiedit now kwa zile ambazo nshaomba kutakuwa na mabadiliko kweli au ndo ishakula kwangu ? Halafu hao referees Kuna vigezo ambavyo lazima uzingatie ? I mean lazima mmoja awe wa career yako, sijui mwingine awe wa vingine na mwingine vingine pia. Can you guys enlight me please🙏
 

Attachments

  • LETA.png
    LETA.png
    5.5 KB · Views: 102
Inakuwaje wakuu ? Naona Leo wamenipa reason ya why sijawa shortlisted kwenye kazi nliyoomba. na hapa nlishaaply sehemu kama tano Hivi huku tayari application zishafungwa now, na zote nimeapply nikiwa nimeweka referees wawili tu (maybe that's a reason why sijawa shortlisted, I was told we gotta have at least three referees). Sasa vipi nikiedit now kwa zile ambazo nshaomba kutakuwa na mabadiliko kweli au ndo ishakula kwangu ? Halafu hao referees Kuna vigezo ambavyo lazima uzingatie ? I mean lazima mmoja awe wa career yako, sijui mwingine awe wa vingine na mwingine vingine pia. Can you guys enlight me please[emoji120]
Kwa kuwa CV unaweza kuedit muda wowote kwenye portal, rekebisha hilo kosa kwa manufaa ya shortlisted ambazo hazijatoka. Barua tu deadline ikipita ndio huwezi kuedit

Referee wa career yako ana nguvu sana, anaweza kukuelezea wewe ufanisi wako katika kazi.

Pia msimamizi wako wa kazi(boss), Mwl wako(chuo) anafit kwenye hiyo nafasi ya referee
 
Inakuwaje wakuu ? Naona Leo wamenipa reason ya why sijawa shortlisted kwenye kazi nliyoomba. na hapa nlishaaply sehemu kama tano Hivi huku tayari application zishafungwa now, na zote nimeapply nikiwa nimeweka referees wawili tu (maybe that's a reason why sijawa shortlisted, I was told we gotta have at least three referees). Sasa vipi nikiedit now kwa zile ambazo nshaomba kutakuwa na mabadiliko kweli au ndo ishakula kwangu ? Halafu hao referees Kuna vigezo ambavyo lazima uzingatie ? I mean lazima mmoja awe wa career yako, sijui mwingine awe wa vingine na mwingine vingine pia. Can you guys enlight me please🙏
Nafasi gani hizi?
 
Kwa kuwa CV unaweza kuedit muda wowote kwenye portal, rekebisha hilo kosa kwa manufaa ya shortlisted ambazo hazijatoka. Barua tu deadline ikipita ndio huwezi kuedit

Referee wa career yako ana nguvu sana, anaweza kukuelezea wewe ufanisi wako katika kazi.

Pia msimamizi wako wa kazi(boss), Mwl wako(chuo) anafit kwenye hiyo nafasi ya referee
Asante mkuu🙏
 
Duuuuh hadi hapa nimepata jibu kwanini PSRS wanatumia muda mrefu/mwingi kuita Watu Usaili. Kwa hii Vetting ya kwenye account ya Kila mtu ni hatari..
Wadau mzidi kuweka vitu hapa vinavyosababisha mtu not be shortlisted ili Kila kipengele tuwe makini nacho.
🙏🙏🙏
 
Duuuuh hadi hapa nimepata jibu kwanini PSRS wanatumia muda mrefu/mwingi kuita Watu Usaili. Kwa hii Vetting ya kwenye account ya Kila mtu ni hatari..
Wadau mzidi kuweka vitu hapa vinavyosababisha mtu not be shortlisted ili Kila kipengele tuwe makini nacho.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Kweli mkuu huenda tunalalamika wanachelewesha ila huenda kwa ground mambo ni mzigo kuchambua
 
Duuuuh hadi hapa nimepata jibu kwanini PSRS wanatumia muda mrefu/mwingi kuita Watu Usaili. Kwa hii Vetting ya kwenye account ya Kila mtu ni hatari..
Wadau mzidi kuweka vitu hapa vinavyosababisha mtu not be shortlisted ili Kila kipengele tuwe makini nacho.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Na kwenye upande wa kuita watu kazini.. unahisi nini kinacheleweshaaa.??
 
Back
Top Bottom