HS CODE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 1,784
- 4,376
Mfumo wa malipo kwa waajiriwa wapya rejea huu Uzi Serikali, waokoeni waajiriwa wapya!
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Nakuunga mkono, inawezekana ni kweli. Japo kama ni kweli wanakosea sana, kwa sasa wadogo zetu wanachokilalamikia ni angalau waitwe kwenye usaili na makazini ili wawe na uhakika na sio kulipwa.
Huku wanaendelea na hizi hatua zingine za usaili, ni muda huo huo ungetosha kuendelea na ukarabati wa huo mfumo.