Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hili suala la pdf za shortlist na placement lishakuwa gumzo ukiangalia bado kuna taasisi nyingi zina vibali vya ajira mpya tangu July hivyo kuna hofu kubwa utumishi kuzidiwa kutokana na wingi wa majukumu ni ushauri tu kwa ambazo zipo tayari mchakato wake vyema waka publish iwe placement au shortlist ili kupunguza mlundikano wa majukumu
 
Hili suala la pdf za shortlist na placement lishakuwa gumzo ukiangalia bado kuna taasisi nyingi zina vibali vya ajira mpya tangu July hivyo kuna hofu kubwa utumishi kuzidiwa kutokana na wingi wa majukumu ni ushauri tu kwa ambazo zipo tayari mchakato wake vyema waka publish iwe placement au shortlist ili kupunguza mlundikano wa majukumu
Kweli mkuu inatakiwa wafanye hivyo ili wapunguze jam
 
Suala la mfumo wa serikali kuwa na tatizo hilo halipo ndani yao wao wanahusika na kuchakata upatikanaji wa lasimali watu wenye sifa kisha kuwakabidhi HR wa taasisi huko ndiyo watapewa maelekezo kamili kuhusu mikataba na changamoto nyinginezo hata ikiwezekana kuambiwa wasubiri au kutokana na changamoto ambazo haziepukiki
 
Kweli mkuu inatakiwa wafanye hivyo ili wapunguze jam
Kuna application nyingi mno zipo received hadi sasa kwa utashi wangu lenye mzigo mkubwa ni TRA hivyo hizi nafasi zenye uhitaji mdogo zingepekekwa kwa muda mzuri zingewapa ufanisi na unafuu kwa zile zenye wingi mno
 
Ukiangalia placement inayosubiriwa sana ni watu waliofanya usaili 18 -27 May
-Veta
-Mzumbe University
-TIE
-GPSA
-Muhimbili
-CBE
-TPA
-DART
-TRO (Hazina)
-NCAA
-MUSOMA
-UDSM
-WIZARA YA AFYA
-OFISI YA BUNGE
ka mkeka kakitoka katashiba sana japo humo nafasi ni moja nyingi zaidi tano wasakatonge waendelee kuwa na subra 🙏
 
Ukiangalia placement inayosubiriwa sana ni watu waliofanya usaili 18 -27 May
-Veta
-Mzumbe University
-TIE
-GPSA
-Muhimbili
-CBE
-TPA
-DART
-TRO (Hazina)
-NCAA
-MUSOMA
-UDSM
-WIZARA YA AFYA
-OFISI YA BUNGE
ka mkeka kakitoka katashiba sana japo humo nafasi ni moja nyingi zaidi tano wasakatonge waendelee kuwa na subra [emoji120]
Hii ya placements sijui wanakwama wapi, wanaoitwa kwenye oral huwa ni wachache, hapo naona sio kazi kivile(ingawa sijui hiyo process ilivyo) ni kitendo cha kuchukua aliofaulu oral na kumuweka kwenye nafasi husika.
 
Hii ya placements sijui wanakwama wapi, wanaoitwa kwenye oral huwa ni wachache, hapo naona sio kazi kivile(ingawa sijui hiyo process ilivyo) ni kitendo cha kuchukua aliofaulu oral na kumuweka kwenye nafasi husika.
Ukizingatia nafasi ni chache
 
Kuna sisi tulifanya usaili Ministry of Land, Land officers na surveyors.

Tulifanya usaili tarehe 12 May kama sikosei then oral tukafanya tarehe 17 may. Ila placements za watu tulofanya nao na waliofanya mbele yetu zimetoka, mfano TPA, mastaste attorneys, Parliamentary Draftmen ila sisi bado, naweza kuwa nmepata au nimekosa ni mipango ya Mungu, ila huu muda na Wizara au Utumishi ndo najiuliza tatizo ni nini
 
Kuna sisi tulifanya usaili Ministry of Land, Land officers na surveyors.

Tulifanya usaili tarehe 12 May kama sikosei then oral tukafanya tarehe 17 may. Ila placements za watu tulofanya nao na waliofanya mbele yetu zimetoka, mfano TPA, mastaste attorneys, Parliamentary Draftmen ila sisi bado, naweza kuwa nmepata au nimekosa ni mipango ya Mungu, ila huu muda na Wizara au Utumishi ndo najiuliza tatizo ni nini
Hadi leo nyinyi bado hamjaitwa kazini
 
Kuna shortlist ya opennm university pale wiki utasikia placement imetoka after interview
Nimegundua Vyuo husika ndio wanaratibu saili zao ndio maana mambo yanaenda haraka mfano MUST na sasa OUT, PSRS wao wanatumika kushortlist tu
 
Nimegundua Vyuo husika ndio wanaratibu saili zao ndio maana mambo yanaenda haraka mfano MUST na sasa OUT, PSRS wao wanatumika kushortlist tu
Kweli ndiyo maana mambo yao yanaenda haraka sana mkuu
 
Back
Top Bottom