makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Tangu asubuhi web ya ajira ipo downWatakuwa wanaandaa MaPdf maana mambo yatakuwa yamesongamana sana, mwezi wa 6 nafanyi nyingi zilitangazwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu asubuhi web ya ajira ipo downWatakuwa wanaandaa MaPdf maana mambo yatakuwa yamesongamana sana, mwezi wa 6 nafanyi nyingi zilitangazwa sana
Hyo ni habari NjemA kwa wasubiria Shortlisted & placements.. itakuwa pdf zinapakiwa huko dadeqTangu asubuhi web ya ajira ipo down
Huwezi mkuu sema website yao haifunguki naona Kuna pdf wanapandisha hukoIla wadau tuseme tu ukweli.. ukiwa umeomba kazi PSRS tena au umefanya interview tena kitambo.. ujasiri wa kukaa kutwa nzima bila kuingia website ya Ajira unautoa wapi.?😁😁😁
Huwezi mkuu sema website yao haifunguki naona Kuna pdf wanapandisha hu
Hamna Cha PDF hata nini web yao tu imecollapse.. Yaan kipdf hata MB 20 hakifiki ndo mda wote huu...!!Huwezi mkuu sema website yao haifunguki naona Kuna pdf wanapandisha huko
Ipo hivyo wakiwa wanapandisha hapa ka pdf ka kb 436 inazingua tu utaona ikirudi Kama hujakuta mkeka wa interview,kuitwa kazini au tangazo la kaziHamna Cha PDF hata nini web yao tu imecollapse.. Yaan kipdf hata MB 20 hakifiki ndo mda wote huu...!!
Na iwe hivyo lijulikane moja kwakwelinina imani hadi August 12 mzigo unaweza achiwa, ukiona kimya tenaa tusubiri Sensa ipite...
Walikuwa wanaweka tangazo la Kazi Ardhi UniversityTangu asubuhi web ya ajira ipo down
Hawa jamaa naona wahuni tuu.. Mtu una apply ajira 5 zote huitwi hata mojaaa[emoji1787][emoji1787]Walikuwa wanaweka tangazo la Kazi Ardhi University
Inamana za TpA zimepigwa tayariii pia kuna zile sita walizoongezaHawa jamaa kuna mchezo wanatuchezea nadhan,mfano kuna zile nafasi za TPA walizoita watu kazini tarehe 12.7.2022,tangazo limeondolewa makusudi kabisa na pia kwenye status za waliokua wameomba izo nafasi na kuitwa oral kule kwenye account zao wameondoa selected na imekua kama hazijawahi kuitwa kwa ajili ya interview,ni kama kulikua na udanganyifu.
Na pia kuna nafasi walitangaza toka mwezi wa tano around yatehe 28 hadi leo ni received to kwa status.Watwambie tu basi ukishaomba uwe mtulivu maana wametangaza kwa bahati mbaya tu hazina haraka.
Hahahaaa, hapo ndio utajua sasa keki ya Taifa ni ya wachache.Hawa jamaa naona wahuni tuu.. Mtu una apply ajira 5 zote huitwi hata mojaaa[emoji1787][emoji1787]
Angalau mliopita hizo hatua mnaweza kuwa na matumaini hata ya kuwekwa kwenye kanzi data.Hiyo haiumii kama sanaa kama kusubiriia mkeka wa kuitwa kazini..
baada ya kupambana na Written na Oral. Halafu unashangaa mambo yapo kimyaa..
Mtaitwa tu lazima shortlist itokeAngalau mliopita hizo hatua mnaweza kuwa na matumaini hata ya kuwekwa kwenye kanzi data.
Ambao tunasubiri kuitwa angalau written interview ndio giza nene sana
Tunaendelea hesabu siku huku tukiendelea na mishuliko mengine siku zako zimebaki nne kuunguanina imani hadi August 12 mzigo unaweza achiwa, ukiona kimya tenaa tusubiri Sensa ipite...
Kupikwaa muda wote huo na nafasi ni moja moja,,,Kada nyingine tano kupikwa gani huko mkuuYaani Hii PDF yeru sijui bado inapikwaa, kikubwa subra tu hapaa