meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
Hahahahahahahha usimamie sup hata training hujamaliza mkuu lazima tukupe seminar kwanza ya mwezi na malipo juuKusimamia sup
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahha usimamie sup hata training hujamaliza mkuu lazima tukupe seminar kwanza ya mwezi na malipo juuKusimamia sup
Litatoka tu mkuu tuvumilie na siku likitoka sijui nitafute mtu anisomee aiseee 🤣🤔[emoji2][emoji23]
kwahiyo PDF mpk watoto wamalize Supplementary.
Unasubiria Mkeka wa Taasisi gani Boss..?Litatoka tu mkuu tuvumilie na siku likitoka sijui nitafute mtu anisomee aiseee 🤣🤔
VETA mkuuUnasubiria Mkeka wa Taasisi gani Boss..?
Utapata mkuu, nafasi zenu zilikuwa ngapi..?VETA mkuu
Kumbe hadi kwako mzeiya 😴PDF inaonekana kubwa kidogo.. mpk Website ya UTUMISHI ipo Down kwa sasa [emoji2][emoji2]
Kuna jambo wanaliweka ipo down kabisaNdio nimesema nichunguliie Mchana huu naona giza.. ili nijuuue hii nauli niliyo iandaa kufatia barua niile au niendee utumishi
Itunze tunze kidogoNdio nimesema nichunguliie Mchana huu naona giza.. ili nijuuue hii nauli niliyo iandaa kufatia barua niile au niendee utumishi
Umeongea jambo la maana sana, waongeze nguvu kaziSahihi utumishi ina nguvu kazi ndogo ni wakati wao sasa na wao wapate kibali cha kuajiri ili kuongeza nguvu kazi ili kuboresha ufanisi wa kaz ziende kwa haraka
Itakuwa MUST walirun hiyo process kwa kivuli cha UtumishiHii ajira ya Must ni yakimchongo. Kam vile hawashirikiani na UTUMISHI.
Kaz zimetangazaa June leo watu wanaitwa kazini.
wakat wengune Kaz zetu za April za Utumishi mpk leo hatuoni Update yeyote
[emoji2][emoji2]
Nina imani usipokuwepo, utaomba nafasi nyingine ikitokea maana huenda hiyo nafasi nyingine itakuwa hot cake[emoji3][emoji3]Huu mkeka nisipo kuwepo nasepa zangu shamba, Nianze Kilimo mapemaa
Wamerudi walikuwa wanaweka tangazo la kazi la IAA ndiyo mana web ilikuwa down[emoji23][emoji23]
Mziki kuitwa kazini sasa unaweza kata tamaaaaHuu mwaka vyuo vyote vya Serikali vimetoa ajira..
shavu kwa wale wenye GPA Kubwa.
Shida kubwa watu wana haraka sana, hivi kama interview zote umefanya tena freshy.. si utulie tu ukiendelea kufanya Mishe zako huku unasubiria mkeka wa placement. Mambo za kuwaza mkeka Kila dakika kama umewapanga PSRS wakupange kwa lazima naona ni kujitia presha tuMziki kuitwa kazini sasa unaweza kata tamaaaa