Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unaenda kufanya nn udsm mkuu na hakuna wanafunzi hapo unaenda kureport kwa Nan sasa tukupe mshahara wa mwezi mmoja Bure bila kazi
[emoji2][emoji23]
kwahiyo PDF mpk watoto wamalize Supplementary.
 
Sahihi utumishi ina nguvu kazi ndogo ni wakati wao sasa na wao wapate kibali cha kuajiri ili kuongeza nguvu kazi ili kuboresha ufanisi wa kaz ziende kwa haraka
Umeongea jambo la maana sana, waongeze nguvu kazi
 
Hii ajira ya Must ni yakimchongo. Kam vile hawashirikiani na UTUMISHI.
Kaz zimetangazaa June leo watu wanaitwa kazini.
wakat wengune Kaz zetu za April za Utumishi mpk leo hatuoni Update yeyote
[emoji2][emoji2]
Itakuwa MUST walirun hiyo process kwa kivuli cha Utumishi
 
Chuma ipo down inanolewa ikitoka huko wasakatonge tuumie macho tu
 
Mziki kuitwa kazini sasa unaweza kata tamaaaa
Shida kubwa watu wana haraka sana, hivi kama interview zote umefanya tena freshy.. si utulie tu ukiendelea kufanya Mishe zako huku unasubiria mkeka wa placement. Mambo za kuwaza mkeka Kila dakika kama umewapanga PSRS wakupange kwa lazima naona ni kujitia presha tu
 
Back
Top Bottom