Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu sasa kama mishe zenyewe ni kuunga-ungaa wacha watu wa survey kwny website ya utumishi kila siku wajipe stress.
Hahaha mishe za kitaa za kimitego tego siku nyingine siku zinapita patupu
 
subirini sensa ipite .... tutakuiteni tu..

Mbona hamna subira nyinyi vijana? mtaweza kazi za serikalini kweli?
Nan kakwambia vijana hatuna Subra, sisi tumeanza uliziia baada ya mwez mmoja kukataa, tupate Feedback kwa wazoefu, lakini watu wanausoma Uzi na kuuvungiaa. au wengine wanatupa maneno ya kukatishana moyo.
Kwan Kuulizia kitu ni ujinga??
 
Nan kakwambia vijana hatuna Subra, sisi tumeanza uliziia baada ya mwez mmoja kukataa, tupate Feedback kwa wazoefu, lakini watu wanausoma Uzi na kuuvungiaa. au wengine wanatupa maneno ya kukatishana moyo.
Kwan Kuulizia kitu ni ujinga??
Subir sensa ikwishe mkuu.. kuwa na subra
 
Bora wewe placement, wengine hawajui kama watakuwa shortlisted angalau waitwe Dodoma
Hahah kuna zile ajira za TRA toka mwez wa 4 mpk leo watu hawajaitwa Usaili [emoji2][emoji2].
Sema hii Nchi inahitaji uwe na Subra tuuu.
Tusubiri Sensa iishe labda September mikeka inaweza anza mwagika
maana Utumishi now wanatangaza nafasi za kazi tu lkn kuhusu Usaili au kupangiwa watu kazini sioni.
 
Hahah kuna zile ajira za TRA toka mwez wa 4 mpk leo watu hawajaitwa Usaili [emoji2][emoji2].
Sema hii Nchi inahitaji uwe na Subra tuuu.
Tusubiri Sensa iishe labda September mikeka inaweza anza mwagika
maana Utumishi now wanatangaza nafasi za kazi tu lkn kuhusu Usaili au kupangiwa watu kazini sioni.
Kwa hiki kinachozungumzwa humu basi hizo Ajira za TRA mpaka kuita kazini itakuwa mwakani Mwanzoni.. maana huu mwaka ushaisha wakuu, kama Usaili tu bado, Waite Usaili mpaka mchakato wa placement, hiyo ni mwaka ni kabisa.
Na wale walioomba kazi mwezi wa 6 na 7 wategemee mwishoni mwa mwaka kuitwa interview.

Yaan kama uko Mtaani Endelea kupiga Mishe zako.. utumishi wako Overwhelmed for now.. Kazi zimewazidi narudia tena kazi zimewazidi
 
Kwa hiki kinachozungumzwa humu basi hizo Ajira za TRA mpaka kuita kazini itakuwa mwakani Mwanzoni.. maana huu mwaka ushaisha wakuu, kama Usaili tu bado, Waite Usaili mpaka mchakato wa placement, hiyo ni mwaka ni kabisa.
Na wale walioomba kazi mwezi wa 6 na 7 wategemee mwishoni mwa mwaka kuitwa interview.

Yaan kama uko Mtaani Endelea kupiga Mishe zako.. utumishi wako Overwhelmed for now.. Kazi zimewazidi narudia tena kazi zimewazidi
Nawale wanaosubiri placements nao mda gani
 
Hahah kuna zile ajira za TRA toka mwez wa 4 mpk leo watu hawajaitwa Usaili [emoji2][emoji2].
Sema hii Nchi inahitaji uwe na Subra tuuu.
Tusubiri Sensa iishe labda September mikeka inaweza anza mwagika
maana Utumishi now wanatangaza nafasi za kazi tu lkn kuhusu Usaili au kupangiwa watu kazini sioni.
Watakuwa wanaandaa MaPdf maana mambo yatakuwa yamesongamana sana, mwezi wa 6 nafasi nyingi zilitangazwa sana
 
Back
Top Bottom