makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Kumekucha mapambano yanaendelea kimaishaYaani Hii PDF yeru sijui bado inapikwaa, kikubwa subra tu hapaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha mapambano yanaendelea kimaishaYaani Hii PDF yeru sijui bado inapikwaa, kikubwa subra tu hapaa
Kwahiyo tusikilizie leo kesho na kesho kutwa baaaaasi otherwise After sensa! Ila pale placements hamna wala call for interview hamnaHahahaa Hii PDF tumeipa siku 3 tu, kama hadi na hapo kimya tusikilisiie baada ya Sensa. [emoji23][emoji23]
Maana sasahivi hakuna Mkeka wa Usahili wala Placement
Ndio hivyo master baada ya hapo tujipumzishee na Huu Uzi ndani ya hizo siku 3 tukiona kimya..Kwahiyo tusikilizie leo kesho na kesho kutwa baaaaasi otherwise After sensa! Ila pale placements hamna wala call for interview hamna
Kwakweli ngoja tuone kuanzia leo nini kita happen ila kama kaimani ninacho wiki haiiishi hiviNdio hivyo master baada ya hapo tujipumzishee na Huu Uzi ndani ya hizo siku 3 tukiona kimya..
[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahaAhsanteni nyote mliohudhuria leo kwenye huu uzi, PDF bado linapikwa[emoji3]
Linapikika huko wanandaa barua sasa hiviAhsanteni nyote mliohudhuria leo kwenye huu uzi, PDF bado linapikwa[emoji3]
Wengine bado hatujaitwa usahili mkuu[emoji134]Linapikika huko wanandaa barua sasa hivi
Ile ya MDA' & LGA's bado halijatema eeeh ..?Wengine bado hatujaitwa usahili mkuu[emoji134]
Bado sijaona PDF hiyo mkuuIle ya MDA' & LGA's bado halijatema eeeh ..?
Maajabu, huwezi kusikia mfumo wa kulipana posho na perdiem umesumbua, au mfumo wa kutukata tozoTaarifa chini ya kapeti, mfumo wa serikali unasumbua ndo mana ajira nyingi zimesimama, mpaka mfumo ukae sawa ndo wataendelea na kuita kada nyingine.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Mfumo kivipi,,, ? Sijaelewa mfumo upi wenye shidaMaajabu, huwezi kusikia mfumo wa kulipana posho na perdiem umesumbua, au mfumo wa kutukata tozo
Chungulia chungulia litatemwa si muda hilo pdfIle ya MDA' & LGA's bado halijatema eeeh ..?
Tunalisubiria Hilo kaka Kwa hamu sana..Chungulia chungulia litatemwa si muda hilo pdf
@Baunsampole kasema mfumo ila hajaspecify, ila mimi nimejaribu kugusia mifumo ambayo huwezi kusikia imekwamaMfumo kivipi,,, ? Sijaelewa mfumo upi wenye shida
Mfumo wa malipo kwa waajiriwa wapya rejea huu Uzi Serikali, waokoeni waajiriwa wapya!Mfumo kivipi,,, ? Sijaelewa mfumo upi wenye shida
Tuendelee kula mtori, nyama tutazikuta chiniMaajabu, huwezi kusikia mfumo wa kulipana posho na perdiem umesumbua, au mfumo wa kutukata tozo
Duuuhh, hatari sanaMfumo wa malipo kwa waajiriwa wapya rejea huu Uzi Serikali, waokoeni waajiriwa wapya!
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app