Wapo fasta sanaNaona Placements za Ardhi na MoCU zushakua hadharani. Wadau fikeni kule mkajue hatima yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo fasta sanaNaona Placements za Ardhi na MoCU zushakua hadharani. Wadau fikeni kule mkajue hatima yenu.
Hahaha ni system t yao naona haiko stable mzee hapo we potzea tu sbria mkeka wa plecmentHizi status za account zinachanganya sana leo tena imebadilika from shortlisted to selected for oral interview.....
Hili ndio kubwaHahaha ni system t yao naona haiko stable mzee hapo we potzea tu sbria mkeka wa plecment
Ulipiga hatua sana mkuu, next time utatoboaNimekosa mbili tu dadeki zao
Watu wa Academia wanafanyiwa mambo murua fast sana.Naona Placements za Ardhi na MoCU zushakua hadharani. Wadau fikeni kule mkajue hatima yenu.
Tushahitimisha kuwa, kama umefanya oral. Achana na kuhangaika na status, subiri PDF ya placement ndio ina ukweli pekee baada ya kupiga oral.Hizi status za account zinachanganya sana leo tena imebadilika from shortlisted to selected for oral interview.....
Mimi kuna moja sikufika oral na ilikuwa Not selected sasa hivi inaniambia selected for oral interview,maajabu ya musaTushahitimisha kuwa, kama umefanya oral. Achana na kuhangaika na status, subiri PDF ya placement ndio ina ukweli pekee baada ya kupiga oral.
Mimi kuna moja sikufika oral na ilikuwa Not selected sasa hivi inaniambia selected for oral interview,maajabu ya musa
Iliyobadilika uliifanyia oral?Hizi status za account zinachanganya sana leo tena imebadilika from shortlisted to selected for oral interview.....
BilashakaItakuwa mtandao tu
Ndio nilifanya oralIliyobadilika uliifanyia oral?
Wanachakachua vipi tena?Wanachakachua kuweka watu wao!
Huijui Tanzania, Bongo? si unaweka mtu wako, kwani ni vigumu? utawafanya nini? utawashitaki wapi?Wanachakachua vipi tena?
Ndio nilifanya oral
😂😂😂😂😂Tuishi humo mzee hata kama ni mimi namuweka ndugu tuHuijui Tanzania, Bongo? si unaweka mtu wako, kwani ni vigumu? utawafanya nini? utawashitaki wapi?
😂😂😂😂Ndio Kuna moja ya mwaka juzi sijui inaniambia selected for aralJe kuna yeyote mwingine imemletea selected for oral kwa amabyo ilikuwa not selected? Usikute nimeokota embe chini ya mnazi😂😂😂
Sidhani...ni system tu...naamini utumishi wako fair as long umeperform vzr kz unapata...wanaosbria placement let them wait for pdfHuijui Tanzania, Bongo? si unaweka mtu wako, kwani ni vigumu? utawafanya nini? utawashitaki wapi?
Ngoja tusubirie mzeeSidhani...ni system tu...naamini utumishi wako fair as long umeperform vzr kz unapata...wanaosbria placement let them wait for pdf