Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yaani wamekubali kuweka majina ya nyongezo kisa uja certified vyeti mbna Kuna wakt ss tulikoza kbsa kbsa
Ujaelewa ndugu, yaani kuna watu hawajaitwa na sababu wameandikuwa kuwa vyet havijawa certified, na wakati sio kweli hivyo ukienda kuwaqmbia wanakuita kwenye majina ya nyongeza....ila km sababu waliyokuandikia kuachwa na kweli hiyo kitu ujafanya hata ukienda hawawezi kukusaidia
 
Wazeee rasmi kwa mara ya kwanza nimekandwa na utumishi mapema nawekwa nje ya tournament.

Ila hii ni interview ya mwisho kufeli kiukweli imenifundisha mengi kwa mda mfupi sana .

Ila nachoshangaa hajatoa mkeka matokeo unakutana nayo kwenye account.
 
Wazeee rasmi kwa mara ya kwanza nimekandwa na utumishi mapema nawekwa nje ya tournament.

Ila hii ni interview ya mwisho kufeli kiukweli imenifundisha mengi kwa mda mfupi sana .

Ila nachoshangaa hajatoa mkeka matokeo unakutana nayo kwenye account.
Mkeka wataweka tu huwa wanaanzia kwenye account
 
Wazeee rasmi kwa mara ya kwanza nimekandwa na utumishi mapema nawekwa nje ya tournament.

Ila hii ni interview ya mwisho kufeli kiukweli imenifundisha mengi kwa mda mfupi sana .

Ila nachoshangaa hajatoa mkeka matokeo unakutana nayo kwenye account.
Waliuliza maswali gani mkuu
 
Wazeee rasmi kwa mara ya kwanza nimekandwa na utumishi mapema nawekwa nje ya tournament.

Ila hii ni interview ya mwisho kufeli kiukweli imenifundisha mengi kwa mda mfupi sana .

Ila nachoshangaa hajatoa mkeka matokeo unakutana nayo kwenye account.
Huwa wanautaratibu wa kutangulia kuweka kwenye acount kwanza.

Pdf wataitoa baadae
 
Back
Top Bottom