Mwaisa1202
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 482
- 1,076
Ujaelewa ndugu, yaani kuna watu hawajaitwa na sababu wameandikuwa kuwa vyet havijawa certified, na wakati sio kweli hivyo ukienda kuwaqmbia wanakuita kwenye majina ya nyongeza....ila km sababu waliyokuandikia kuachwa na kweli hiyo kitu ujafanya hata ukienda hawawezi kukusaidiaYaani wamekubali kuweka majina ya nyongezo kisa uja certified vyeti mbna Kuna wakt ss tulikoza kbsa kbsa