Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Dah Ila jamani hawa PSRS inabidi wachange baadhi ya mambo mfano nimeenda kuungalia matokeo ya usaili wa vitendo wa nafasi ya jamaa aliyekutana na multiple choice ya command za Linux Ile ya LABORATORY TECHNICIAN COMPUTER SCIENCE wamechukua watu watatu kwenda oral Wana 95 mtu wa nne ana 94 kaachwa not selected kweli jamani dah aiseee sio fair kabisa
 
Bila kutumia ratio hakutawahi kuwa na fair kwenye hizi selected maana zinafanyika kutokana na utashi/maamuzi ya mwenye kuandaa PDF.

Yaani mtu akijisikia akataka anapotaka yeye.

Ratio iwe 1 post: 6 candidate lakini pass mark lazima iwe 50.

Endapo watu 3 ndio wamepata 50+ hao hao ndio waitwe oral, kama wengi mkifikisha hiyo marks, basi watu 6 wa juu wachukuliwe
 
Noma aiseee duh mtu Kama huyo anawaza sana aiseee Kuwa amewakanda PSRS ila ni kama wamemkanda tu 🤣🤣🤣🤣
 
Kweli kabisa,ratio ndio msema kweli.ni kama wanafanya tu ili mradi
 
Kwanini unadhani sita wa juu (top six) ndio itakua fair ?
Why six ?
 
Nimeliona hilo aisee IT IS NOT FAIR AT ALL huyo mtu anaetoa maamuz ya cuttingpoint sjui hua anafikria nini ukiangalia mtu anamfuata huyo mwenye 94 yuko mbali ss kw nn wasimchukue na yeye yani utumishi sio poa
 
Noma aiseee duh mtu Kama huyo anawaza sana aiseee Kuwa amewakanda PSRS ila ni kama wamemkanda tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena huenda alijipa moyo kuwa hii written lazima apige 90+ na kuingia oral ila alichokiona sasa, ndio kumemuacha mdomo wazi
 
Kwanini unadhani sita wa juu (top six) ndio itakua fair ?
Why six ?
Kwa sababu ya limit ya ratio niliyoipendekeza. Hii haitakuwa na manung'uniko kwa sababu kila mmoja atakuwa anajua huu utaratibu.

Sio kama sasa ambapo hatujui maamuzi ya selected for oral yanavyofanyika
 
Tukisema mue mnajiandaa na interviews za Utumishi muelewe hizi sio kama zile nyingine unaongea kuhusu kazi. Huku ukiingia kichwakichwa wanakula kichwa kikatili sana.
View attachment 2393353
Unadhani watu hawasomi mzee??sema tu utumishi wanamaajabu yao siku ukiamka vibaya wanakukanda hata kama umesoma mzee kuna mistake pia zakujibu swali sio Kwamba haujui lakini inatokeaga tu
 
Unadhani watu hawasomi mzee??sema tu utumishi wanamaajabu yao siku ukiamka vibaya wanakukanda hata kama umesoma mzee kuna mistake pia zakujibu swali sio Kwamba haujui lakini inatokeaga tu
Ndio kinschotakiwa Utumishi Soma sana na uwe na bahati.
 
Naombeni kueleweshwa kuhusiana na hii portal Ya TAESA ikoje ikoje yaani inatoa fursa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…