😂😂😂Jina liwe laini kidogo sasa prok sisi tunajua mwamba fulani hivi🤣🤣🤣 watafute majina malaini sio 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Jina liwe laini kidogo sasa prok sisi tunajua mwamba fulani hivi🤣🤣🤣 watafute majina malaini sio 🤣
😂😂😂😂Naona utumishi wakae chini wamalize tofauti zao kabisa na placementPlacement na Utumishi wakae chini wamalize tofauti zao.
Mungu ni mwema dada utafanikiwa katika hili
Kusubiria placement ni mzigo mkubwa sana.😂😂😂😂Naona utumishi wakae chini wamalize tofauti zao kabisa na placement
Mkuu nakutakia kila la kheriHao malegal officer ndo sisi, kesho tuna oral aisee, maombi yenu, hizi nafasi mia Mungu anisaidie tu, maana kuna placements nasubiria mpaka Yesu arudi sijui ndo zitatolewa[emoji23][emoji23]
Halafu hii Legal Officer mtihani ulikuwa mgumu ila uzuri kama ni kada yako unakuwa na idea na unapata cha kuandika, ila ata marks nlizopata nlikuwa sitegemei kwa jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu vile
Mi pia nilidhani kaka, mmeitwa wangapi kwenda oral?Mimi ni dada jaman [emoji23]
Amini mkuu, kati ya hao 100 wanaohitajika na wewe upo.Hao malegal officer ndo sisi, kesho tuna oral aisee, maombi yenu, hizi nafasi mia Mungu anisaidie tu, maana kuna placements nasubiria mpaka Yesu arudi sijui ndo zitatolewa[emoji23][emoji23]
Halafu hii Legal Officer mtihani ulikuwa mgumu ila uzuri kama ni kada yako unakuwa na idea na unapata cha kuandika, ila ata marks nlizopata nlikuwa sitegemei kwa jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu vile
Kusubiria placement ni mzigo mkubwa sana.
Ningekuwaga napata chance ya nafasi kama hizi ningeshakuwa nimeajiriwa tayariAmini mkuu, kati ya hao 100 wanaohitajika na wewe upo.
Just believe.
Kuna watu kada zao post zinatok z kumwaga wengine duh zikitoka 10 kama 1000 🤣Ningekuwaga napata chance ya nafasi kama hizi ningeshakuwa nimeajiriwa tayari
Watu wa IT nafasi zetu finyu sanaNingekuwaga napata chance ya nafasi kama hizi ningeshakuwa nimeajiriwa tayari
Adem walisema mwezi 1 majibu yatatoka ila now tunaenda na week 2,iae adult education walisema 3 weeksUnasubiri mpaka unachoka kabisa sijuagi Yani huwa wanafatilia nini Yani baada ya oral
Mambo ya michakatoAdem walisema mwezi 1 majibu yatatoka ila now tunaenda na week 2,iae adult education walisema 3 weeks
duuuh ni hatari aseeh sisi tulikandwa tu bila kuambiwa watatoa liniAdem walisema mwezi 1 majibu yatatoka ila now tunaenda na week 2,iae adult education walisema 3 weeks
Sisi tuliambia wiki 3 ila sasa wiki ya sitaAdem walisema mwezi 1 majibu yatatoka ila now tunaenda na week 2,iae adult education walisema 3 weeks
Hawa jamaa wanazingua sanaSisi tuliambia wiki 3 ila sasa wiki ya sita
Hv zile ajira 320k ndo zishaisha?😳Ukichek kule kweny portal akuna matangazo kabisa View attachment 2396422
Zaidi ya kuzinguaHawa jamaa wanazingua sana
Hv zile ajira 320k ndo zishaisha?😳
Zile elf 32 alitangza jenista muhagama sijui mwez wa 3 hv km sjakoseaZipi tena?
Hizo sizilikuwa za walimu na madaktari au?Zile elf 32 alitangza jenista muhagama sijui mwez wa 3 hv km sjakosea