Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na tulioomba mambo ya fisheries ndo tumeshasahaulika!😵‍💫
Nyie mpo kwenye "mkeka wa taifa" (ule uliokua na nafasi 1904).

Utumishi hawawezi kuita kada zote kwenye mkeka ule (ni mkubwa mno) kwa wakati mmoja, hivyo wanaita kidogo kidogo.

Hadi sasa kutoka kwenye ule mkeka walioanza kuitwa interview, kama kumbukumbu zangu ziko sawa, ni kada za sheria.

Wengine ambao mnatakiwa kuendelea kujiandaa na kusubiri kuitwa ni kada za:-
Utalii
Misitu na nyuki
Wanyamapori
Chakula na lishe
Mifugo
Uvuvi
Ujenzi na majenzi
Utunzaji kumbukumbu
Usaidizi wa ofisi
Uhasibu na uchumi
Hesabu na ukaguzi wa ndani
Habari
Ugavi na manunuzi
Takwimu na mipango
Utumishi na utawala
Usafirishaji
Ustawi wa jamii
Maji
Biashara
Mazingira
n.k


Hivyo tuendelee kuwa wavumilivu, wanaita taratibu taratibu kulingana na uwezo wao wa kufanyisha usaili.
(Wanaangusha moja moja)

Tuendelee...... nyama tutazikuta....
 
Nyie mpo kwenye "mkeka wa taifa" (ule uliokua na nafasi 1904).

Utumishi hawawezi kuita kada zote kwenye mkeka ule (ni mkubwa mno) kwa wakati mmoja, hivyo wanaita kidogo kidogo.

Hadi sasa kutoka kwenye ule mkeka walioanza kuitwa interview, kama kumbukumbu zangu ziko sawa, ni kada za sheria.

Wengine ambao mnatakiwa kuendelea kujiandaa na kusubiri kuitwa ni kada za:-
Utalii
Misitu na nyuki
Wanyamapori
Chakula na lishe
Mifugo
Uvuvi
Ujenzi na majenzi
Utunzaji kumbukumbu
Usaidizi wa ofisi
Uhasibu na uchumi
Hesabu na ukaguzi wa ndani
Habari
Ugavi na manunuzi
Takwimu na mipango
Utumishi na utawala
Usafirishaji
Ustawi wa jamii
Maji
Biashara
Mazingira
n.k


Hivyo tuendelee kuwa wavumilivu, wanaita taratibu taratibu kulingana na uwezo wao wa kufanyisha usaili.
(Wanaangusha moja moja)

Tuendelee...... nyama tutazikuta....
Dah watu wa IT tumesahaulika 🤭 post zote hizo hamna IT aisee
 
Hao malegal officer ndo sisi, kesho tuna oral aisee, maombi yenu, hizi nafasi mia Mungu anisaidie tu, maana kuna placements nasubiria mpaka Yesu arudi sijui ndo zitatolewa[emoji23][emoji23]
Halafu hii Legal Officer mtihani ulikuwa mgumu ila uzuri kama ni kada yako unakuwa na idea na unapata cha kuandika, ila ata marks nlizopata nlikuwa sitegemei kwa jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu vile
 
Hao malegal officer ndo sisi, kesho tuna oral aisee, maombi yenu, hizi nafasi mia Mungu anisaidie tu, maana kuna placements nasubiria mpaka Yesu arudi sijui ndo zitatolewa[emoji23][emoji23]
Halafu hii Legal Officer mtihani ulikuwa mgumu ila uzuri kama ni kada yako unakuwa na idea na unapata cha kuandika, ila ata marks nlizopata nlikuwa sitegemei kwa jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu vile
Ukiona hivyo wamestandardizs ili kupata namba inayotakiwa
 
😂😂😂😂😂tupe maswali yalikuaje kiongozi ,sema kuna wakati inatokea tu zile idea ulizoandika kumbe ndo majibundo maana huwa tunasema usikubali kuacha swali jibu unachoelewa
Hao malegal officer ndo sisi, kesho tuna oral aisee, maombi yenu, hizi nafasi mia Mungu anisaidie tu, maana kuna placements nasubiria mpaka Yesu arudi sijui ndo zitatolewa[emoji23][emoji23]
Halafu hii Legal Officer mtihani ulikuwa mgumu ila uzuri kama ni kada yako unakuwa na idea na unapata cha kuandika, ila ata marks nlizopata nlikuwa sitegemei kwa jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu vile
 
Hao malegal officer ndo sisi, kesho tuna oral aisee, maombi yenu, hizi nafasi mia Mungu anisaidie tu, maana kuna placements nasubiria mpaka Yesu arudi sijui ndo zitatolewa[emoji23][emoji23]
Halafu hii Legal Officer mtihani ulikuwa mgumu ila uzuri kama ni kada yako unakuwa na idea na unapata cha kuandika, ila ata marks nlizopata nlikuwa sitegemei kwa jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu vile
Utapata kaka nafasi yako ipo hapo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tupe maswali yalikuaje kiongozi ,sema kuna wakati inatokea tu zile idea ulizoandika kumbe ndo majibundo maana huwa tunasema usikubali kuacha swali jibu unachoelewa
Maswali yalikuwa
Importance of legal research na the way legal research inacontribute vip to development of law, meaning of restitution doctrine, dfc yake na compesation, exceptional zake na five components of the doctrine of restitution to stand kama sikosei, meaning of extra judicial statements, and which circumstances they can be admissible in court, Remedies za malicious prosecution na defences za DPP kama a person akiachiwa halafu akaenda kusue DPP on malicious prosecution
 
Maswali yalikuwa
Importance of legal research na the way legal research inacontribute vip to development of law, meaning of restitution doctrine, dfc yake na compesation, exceptional zake na five components of the doctrine of restitution to stand kama sikosei, meaning of extra judicial statements, and which circumstances they can be admissible in court, Remedies za malicious prosecution na defences za DPP kama a person akiachiwa halafu akaenda kusue DPP on malicious prosecution
Sawa mdada hongereni tuishi humo
 
Hao malegal officer ndo sisi, kesho tuna oral aisee, maombi yenu, hizi nafasi mia Mungu anisaidie tu, maana kuna placements nasubiria mpaka Yesu arudi sijui ndo zitatolewa[emoji23][emoji23]
Halafu hii Legal Officer mtihani ulikuwa mgumu ila uzuri kama ni kada yako unakuwa na idea na unapata cha kuandika, ila ata marks nlizopata nlikuwa sitegemei kwa jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu vile
Placement na Utumishi wakae chini wamalize tofauti zao.

Mungu ni mwema dada utafanikiwa katika hili
 
Back
Top Bottom