goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Loan officer mkuuPost gani unaenda kufanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loan officer mkuuPost gani unaenda kufanya?
Unataka maswali tu sio notes?Loan officer mkuu
Utumishi hawarudiagi maswali lakiniLoan officer mkuu
Mwambie afikishe salamu za jobless kwa PSRS, kitaa kugumu wajitahidi kuharakisha mamboAaah pole, tyar nshampata[emoji23]
Kwakweli azifikishe tu hizi salami muhimu sanaMwambie afikishe salamu za jobless kwa PSRS, kitaa kugumu wajitahidi kuharakisha mambo
Kama una notes tupia mkuu, usaidie wenye uhitaji.Unataka maswali tu sio notes?
Naona watu wapo busy na kusoma kwa ajili ya kuwakanda psrs....vipi wadau ADEM bado kimya tu maana kesho ndio wanafungua chuoKama una notes tupia mkuu, usaidie wenye uhitaji.
Hivi vyuo vya kati jau tu IFM, CBE na Mweka wote wamekausha tu.Naona watu wapo busy na kusoma kwa ajili ya kuwakanda psrs....vipi wadau ADEM bado kimya tu maana kesho ndio wanafungua chuo
Bado kimya,huenda hizi post hazina uhusiano na kufungua chuo ndiyo maana Bado wametulia..Naona watu wapo busy na kusoma kwa ajili ya kuwakanda psrs....vipi wadau ADEM bado kimya tu maana kesho ndio wanafungua chuo
Pia sidhani kama ukipata barua tu hapohapo unakabidhiwa darasa si Kuna viprocess vya kureport na Nini..ngoja tuendelee kuwa wapole japo inachoshaaNaona watu wapo busy na kusoma kwa ajili ya kuwakanda psrs....vipi wadau ADEM bado kimya tu maana kesho ndio wanafungua chuo
Safari ni ndefu badoPia sidhani kama ukipata barua tu hapohapo unakabidhiwa darasa si Kuna viprocess vya kureport na Nini..ngoja tuendelee kuwa wapole japo inachoshaa
Ndefu kweli maana jambo la kwanza kufaulu🤣,wangetoa tukajua mbivu na mbichiSafari ni ndefu bado
Aisee,kada Gani hawa kakaHawa wamba wote wamepita written patamu hapa.
View attachment 2395682
Legal Officer Grade IIAisee,kada Gani hawa kaka
Duh wamekanda utumishi jamaaHawa wamba wote wamepita written patamu hapa.
View attachment 2395682
NomaLegal Officer Grade II
Inawezkana post zao zilikua za kumwaga so hapo jobless wa kutosha watkula shavuNoma
Na mimi nimeona, nimekimbia nije nikomenti kumbe umeniwahi.Hawa wamba wote wamepita written patamu hapa.
View attachment 2395682