๐๐๐๐Watakandwa mpaka wakimbie hahhhhWasije kwenda bila kusoma nawajua wengine wanasema guest siku moja kabla ya Pepa vijana watu wa hovyo sana
Akili itastuck siku ukipata kazi then wanakuambia tutakupigia simu tukupangie kituo hapo ndo vitu vyote unaacha aiseee hunununi hata feni kuhofia utapelekwa kigoma na feni umenunua Jana hizi kazi basi tu kwa kweliNafikiri Hawa utumishi wawe na huruma hizi ishu za placement zinafanya akili inastuck
๐๐๐๐mzee wakula kimasiharaMabo ya rickboy hayo
๐๐๐๐๐Hahhhhh daaah Yani kila sehemu majanga tuAkili itastuck siku ukipata kazi then wanakuambia tutakupigia simu tukupangie kituo hapo ndo vitu vyote unaacha aiseee hunununi hata feni kuhofia utapelekwa kigoma na feni umenunua Jana hizi kazi basi tu kwa kweli
๐๐๐๐Hahhh anakula wafungwa yule ametukimbia hata kuja kutusalimia hatakiKunguru wa manzese ndo balaaa lazima atafute demu kwanza anakuambia ndo afanye interview hahahah sijui huko magereza Sasa hivi mafunzo yanaendaje huyo jamaaa
Mie nimekuja kugundua kama process za interview mpaka placement zingeenda kama ivyotakiwa basi process ya kupangiwa kituo cha kazi ndo ndefu Zaid ya zote๐๐๐๐๐Hahhhhh daaah Yani kila sehemu majanga tu
Huyo afande Tena sio mwenzetu akija hapa ni kututisha kutuweka jela tu lazima tuwe na heshima ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐Hahhh anakula wafungwa yule ametukimbia hata kuja kutusalimia hataki
asa kinachochelewesha ni nini yani kwenye kazi?utumishi wanazingua sana mbona walimu hawanaga mzunguko huuMie nimekuja kugundua kama process za interview mpaka placement zingeenda kama ivyotakiwa basi process ya kupangiwa kituo cha kazi ndo ndefu Zaid ya zote
Ukila demu wake tu anakuweka selo๐๐๐๐๐Huyo afande Tena sio mwenzetu akija hapa ni kututisha kutuweka jela tu lazima tuwe na heshima ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kama taasisi Gani umeskia kakaHivi MUCE, IAE na MUHAS placement ni lini?
Na naskia baadhi ya taasisi wanaanza kumpigia simu yule aliepata ajira, je kuna mtu aliepigiwa simu katika taasisi hizo?
Naomba miongozo jamani
Naona hata hizi za ualimu pia mzunguko upoasa kinachochelewesha ni nini yani kwenye kazi?utumishi wanazingua sana mbona walimu hawanaga mzunguko huu
Nawenyewe huwa wanaangalia nini sasa?Naona hata hizi za ualimu pia mzunguko upo
Duce, Kuna mtu nilisikia kapigiwa simu na kweli baada ya mkeka, jina lake likawepoKama taasisi Gani umeskia kaka
Duce muda wadau walitoa maelezo humu kwa uelewa waoDuce, Kuna mtu nilisikia kapigiwa simu na kweli baada ya mkeka, jina lake likawepo
Alisema Ke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi alimpa manzi mwenzie au mjuba alienda kula kimasihara?
๐๐๐๐Ashapata ajira sio?anatukwepa joblesskuna mwenzetu SHOMBE la kisomali katukimbia kabisa simuoni humu
๐๐๐๐Nikajua mwamba alienda kupindua meza ugenini hahhhAlisema Ke