Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Madini tupu hapa... Pole kwa yaliyokusibu na hongera kwa kuamka tena
 
Safi sana kwa kumkataa Babu nipo hapa kijana mwenzio nikubalie mie nakupenda sana jamani Hadi naumwa
Pole sana baby kwa kuandika uzi mrefu🤣🤣🤣🤣
 
God bless you mdada
 
😂😂😂Amna process zao zinakuaga hivyo ndo wanasema
Connection ndugu nishaona Sina hapa🤣🤣🤣 hata sina wa kumuuliza mwezi Sasa umeshaisha mwezi ujao Mwishoni nitaenda dodoma kwa mkurugenzi nimkande maswali why kimya mpka ashangae kwa kweli na Nampa na Marks atakazopata below 50 Kuna rushwa naenda takukuru 🤣🤣🤣
 
😂😂😂Hahhhhh daaah amna sio muda utaenda kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…