Kwa nini akuulizie wakati nipo hapa[emoji3]. Wale wa TRA walianza na training haikuchukua muda, aliepata halmashauri sehemu ilikuwa vacant kabisa so mwezi wa 12 ilibidi aende kufanya kazi na hayo mambo yakusubir check no alikuja kupata mwezi wa pili mwanzoni kama sikosei. Mastate attorney wa juzijuzi mwezi wa saba sijui wa nane walivyochukua barua waireport kazini within 2 weeks ilivyotakiwa na washaanza kazi ila sijui malipo inakuwaje,, mimi nahisi hii pia inategemea na uharaka wa kumuhitaji huyo mtu, mfano mastate attorney karibia wote hadi wale wa parliamentary draftman wameazimwa na NPS mpaka mwezi wa kwanza maana NPS hawakuwa na watu kabisa.