Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sawa acha tusubri mkuu ASANTE kwa maelekezo🙏
 
Hvi waliopata kazi wakifika wanawezeshwa kiuchumi au inakuaje hapo pork una uzoefu kidogo umezungukwa na Wala asali🤣
 
Kumbe Kuna kuazimana Tena wafanyakazi🤔 basi na mie SI waniazime tu jamani 🤣
 
😂😂😂😂Amenipatia fursa jobless mwenzie yakuja dm kuuliza swali hahhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…