Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Sawa bossSubiri pdf mkuu hiyo ndo ina kila kitu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂Kuna siku nimepigiwa na namba ngeni aseeh nilichanganyikiwa
Duh,basi na pdf itakua Iko njiani.maana duce walipigiwa baada kama ya siku 2 hvi pdf likatupiwa mtandaoniWiki hii
Umefanya oral muce na wapi broHahaaa ni kweli
asa nikawa naongea kwa adabu sana kumbe ni jamaa yangu mmoja akashangaa huyu mjinga mbona leo anaongea kwa adabu hivi au anaumwa😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe me nilijua utumishi wamepiga simu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka kifalaaa🤣🤣🤣,njaa mbaya aiseeasa nikawa naongea kwa adabu sana kumbe ni jamaa yangu mmoja akashangaa huyu mjinga mbona leo anaongea kwa adabu hivi au anaumwa😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe me nilijua utumishi wamepiga simu
Me kuna siku nmepigiwa mkaka anaongea kiustaarabu kweli kumbe mteja anataka muhuru khaaa, nlijua psrs [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nimepigiwa na namba ngeni aseeh nilichanganyikiwa
Pdf leo mzee huamini??😂😂😂😂😂nishaiombea lazima itoke yaniDuh,basi na pdf itakua Iko njiani.maana duce walipigiwa baada kama ya siku 2 hvi pdf likatupiwa mtandaoni
😂😂😂😂Yani mtu unakuwa huna amani kabisa na namba ngeni hahhhhMe kuna siku nmepigiwa mkaka anaongea kiustaarabu kweli kumbe mteja anataka muhuru khaaa, nlijua psrs [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ameen kubwa.itoke bwana tuangalie issue zinginePdf leo mzee huamini??😂😂😂😂😂nishaiombea lazima itoke yani
Nilikuta missed call ya namba ngeni, nikajua labda utumishi, nikapiga mimi kama mara nne haikupokelewa, nikasema hawa Kwa vyovyote ni utumishi tu, nikapiga tena ikapokelewa, kumbe ni mtu Yuko matombo huko alikosea namba😡😡😂😂😂😂Kuna siku nimepigiwa na namba ngeni aseeh nilichanganyikiwa
😂😂😂😂😂Kweli maana jamaa hajawahi kuona tunaongea kwa adabu vile akahisi huyu mpuuzi anaumwa au sio yeye🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka kifalaaa🤣🤣🤣,njaa mbaya aisee
MUCE, IAE na MUHAS lakin MUHAS placement tayari na sipoUmefanya oral muce na wapi bro
😂😂😂😂Lazima kimoyo moyo ulisema shenzi kabisaNilikuta missed call ya namba ngeni, nikajua labda utumishi, nikapiga mimi kama mara nne haikupokelewa, nikasema hawa Kwa vyovyote ni utumishi tu, nikapiga tena ikapokelewa, kumbe ni mtu Yuko matombo huko alikosea namba😡😡
Kabisa Sasa Mimi nilipigiwa mchana hvi nikakuta misdcols 2,nikaja kupiga akapokea jamaa anasema subiri kwanza ntakucheki.hakupiga Tena na mi nikapotezea japo nilikaa kwa tension nasubiri simu yake🤣,baadae nikasema tutapigiwa Hadi na kalynda pdf ndio muamuzi 🤣🤣🤣😂😂😂😂Yani mtu unakuwa huna amani kabisa na namba ngeni hahhhh
Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilikuta missed call ya namba ngeni, nikajua labda utumishi, nikapiga mimi kama mara nne haikupokelewa, nikasema hawa Kwa vyovyote ni utumishi tu, nikapiga tena ikapokelewa, kumbe ni mtu Yuko matombo huko alikosea namba😡😡
MUCE, IAE na MUHAS lakin MUHAS placement tayari na sipo
Utapata hapo zilizobaki kakaMUCE, IAE na MUHAS lakin MUHAS placement tayari na sipo
Tena nilisema Kwa sauti😂😂😂😂Lazima kimoyo moyo ulisema shenzi kabisa
😂😂😂😂Hahhhh Kalyanda watulipe hela zetuKabisa Sasa Mimi nilipigiwa mchana hvi nikakuta misdcols 2,nikaja kupiga akapokea jamaa anasema subiri kwanza ntakucheki.hakupiga Tena na mi nikapotezea japo nilikaa kwa tension nasubiri simu yake🤣,baadae nikasema tutapigiwa Hadi na kalynda pdf ndio muamuzi 🤣🤣🤣