😂😂😂😂Wazo zuri hilo ngoja Prok aje atubless jobless wenzieDaaaadek🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Wazo zuri hilo ngoja Prok aje atubless jobless wenzieDaaaadek🤣
jamaa utapiga pasi hiyo suti hadi ichanike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi Imani yako imekuponya na kazi umepata jiandae piga pass suti Monday tukachukue barua udom
haleluyaUhakika amini mzee me jtatu lazima nikachukue barua utumishi [emoji23][emoji23]
AminaNawaombea nyote hapa 2023 ifike tukiwa na kazi ata kuwa placed tu.
Tena hapo umeacha nyingineNIMEANGALIA USAILI WA SEPTEMBER 10 MPAKA 12
1.Bugando (BMC)
2.Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), 3.Hospitali ya Kikristo ya kilimanjaro (KCMC),
4.Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH),
5. Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),
6.Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),
7.Bodi ya Usajili wa wakandarasi (ERB), 8.Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI),
8.Baraza la kiswahili la Taifa (BAKITA),
9.Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi
(NACTEVET),
10. Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA) na 11.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
HAO WOTE HAPO WANASUBIRI PLACEMENTS
View attachment 2401273
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kumekuchaHahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.
Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?
Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamaa utapiga pasi hiyo suti hadi ichanike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zipo Mzee
Matokeo tarehe 2.Hivi jamani matokeo ya NAOT ni lini?Kukaa Dodoma mpaka hiyo tarehe 7 ni matumizi mabaya ya hela zangu.Wenye fununu fungukeni.
Dah umekaa sana broHivi jamani matokeo ya NAOT ni lini?Kukaa Dodoma mpaka hiyo tarehe 7 ni matumizi mabaya ya hela zangu.Wenye fununu fungukeni.
Yes,mimi Bado nipo huku. ila kesho nataka kurejea zangu kwenye mishe zangu .Nimechoshwa nao.Matokeo tarehe 2.
Hivi ni kweli upo Dom ukisubiri matokeo?
Tukiitwa oral hakutakuwa na hasara tutaenda
Kwa kweli ,mpaka kigogo nishaanza kuingea.Nilicho hamua kesho naondoka aisee...Dah umekaa sana bro
Una uhakika mwenzetu.Hivi jamani matokeo ya NAOT ni lini?Kukaa Dodoma mpaka hiyo tarehe 7 ni matumizi mabaya ya hela zangu.Wenye fununu fungukeni.
Kwann ukae siku zote hizo au upo kwa ndugu/jamaa? Maana kukaa gest ni gharama bora urudi kwenu,ukipita usaiki urudi tena tarehe 7 mbali sanaHivi jamani matokeo ya NAOT ni lini?Kukaa Dodoma mpaka hiyo tarehe 7 ni matumizi mabaya ya hela zangu.Wenye fununu fungukeni.
Time frame ya ratiba ilivyokaa ilionesha dhahiri watu inabidi warudi nyumbani kwanza(mikoani).Yes,mimi Bado nipo huku. ila kesho nataka kurejea zangu kwenye mishe zangu .Nimechoshwa nao.
Practical question tu.. kama ndio huna experience vifaa vileee.. nikuliwaa haina ubabaishajiii [emoji28][emoji28][emoji28]Yalikuwa konki sana?
Hamna mimi mwenyewe kesho nasepa aisee....Una uhakika mwenzetu.
Me nimegeuka zangu jana.