Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nimepata chimbo langu la bei rahisi huku nzuguni.bei ya room per day ni elfu 8,maji yapo,na chumba ni kizuri tu.mtaani chai kikombe ni 200/=,andazi 200/= chapati ni 300/=.supu inaanzia 1000/=,ugali dagaa ni kuna wa 1000/= na wa 1,500/=.
Naamini nimepunguza cost mno tofauti na ningekaa maeneo ya town huko.

Mkuu, ni wapi huko? Hebu tutajie location.
 
Itakuwa alipata kazi

Hahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.

Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?

Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
 
Hahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.

Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?

Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.

Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?

Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
😂😂😂😂😂Nakazia hapo paragraph ya mwisho
 
Hahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.

Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?

Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
Daaaadek🤣
 
Back
Top Bottom