Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Kweli tu wengine watakua wanatoka wangine wanaingiaUzi utaendelea kwa muda mrefu sana kama tamthilia ya Isidingo, main characters tu watabadilika, dhima ile ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tu wengine watakua wanatoka wangine wanaingiaUzi utaendelea kwa muda mrefu sana kama tamthilia ya Isidingo, main characters tu watabadilika, dhima ile ile.
Hongera mzeeJamani leo nawaageni rasmi jf nakwenda kuwa mtumishi mwema . tuendelee kupambana kwa mungu yote yanawezekana .tujitahidi kusoma
AmenNawaombea nyote hapa 2023 ifike tukiwa na kazi ata kuwa placed tu.
UMEMALIZA MKUU[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Nimepata chimbo langu la bei rahisi huku nzuguni.bei ya room per day ni elfu 8,maji yapo,na chumba ni kizuri tu.mtaani chai kikombe ni 200/=,andazi 200/= chapati ni 300/=.supu inaanzia 1000/=,ugali dagaa ni kuna wa 1000/= na wa 1,500/=.
Naamini nimepunguza cost mno tofauti na ningekaa maeneo ya town huko.
Kiongozi umepotelea wapi siku mbili tatu sikuoni humuAsante Mkuu.
Itakuwa alipata kaziKiongozi umepotelea wapi siku mbili tatu sikuoni humu
Anwani utajiandikia mwenyewe, mimi nakusaidia hapa.
REF: RESIGNATION
Bye bye
____________
Mlamba Asali
Mkuu sasa kwa maswali yale ya Oral... watampata nani??..Hahahahahaa, poleni sana.
Hapo mlikandwa wote kwenye oral.
Si unaona pale mwanzoni mwa tangazo huwa wanasema kuwa hawa walifaulu usahili na kama jina lako halipo ujue hukufaulu na usisite kuomba tena nafasi zitakapotangazwa
kaka nina kazi tu ajiraa badoo 😀 😀
😂😂😂😂Huyu anakitengo tayari anakujaga kutusalimia tuItakuwa alipata kazi
Yalikuwaje mkuu??Mkuu sasa kwa maswali yale ya Oral... watampata nani??..
Kiongozi umepotelea wapi siku mbili tatu sikuoni humu
Itakuwa alipata kazi
Mkuu una idea yoyote apoNarudia tena mtaa wa Moto haswa...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha, Mkuu nashauri hapo kwenye cheo chake asiishie tu na neno mlamba asali, aandike mlamba asali mpya.
Yalikuwa konki sana?Mkuu sasa kwa maswali yale ya Oral... watampata nani??..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.
Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?
Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
😂😂😂😂😂Nakazia hapo paragraph ya mwishoHahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.
Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?
Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.
Daaaadek🤣Hahaha, japo ni nje ya mada, yani Mkuu tangu nilipokuja gundua kwamba wewe ni mwanamke, ID za Jf sina hamu nazo kabisa.
Halafu, nilikuwa na pandekezo moja, jobless wakike mkifuatwa na majobless wenzenu, msiwazungushe sana, nyie wenyewe mnaiona hali ya ujobless inavyoleta msongo wa mawazo, hadi kwenye hivyo vitu mlivyopewa bure na Mungu mnatafuta watu wenye kazi!!!?
Inatakiwa jobless akijitambulisha tu kwamba ni jobless, mnamwambia chochote anachotaka atapata.