billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Ushauri mzuri kaka.Time frame ya ratiba ilivyokaa ilionesha dhahiri watu inabidi warudi nyumbani kwanza(mikoani).
Ukiitwa oral hiyo tarehe 2, utaanza kujiandaa kwenda kuifanya tarehe 7 au 8, kwa wale ambao hawataitwa hawatakuwa na hasara tena maana watakuwa tayari wapo nyumbani
Nipo gest, nilikuwa najua huenda tokeo lingetoka jumamosi au jumapili, then nichague moja kurudi MASKANI kwangu au nibakie.Mimi Siyo mpenzi wa kukaa kwenye mabasi muda mrefu.Kwann ukae siku zote hizo au upo kwa ndugu/jamaa? Maana kukaa gest ni gharama bora urudi kwenu,ukipita usaiki urudi tena tarehe 7 mbali sana
Taesa wanatoa internship ya mwaka mmoja na malipo ya laki na nusu Kila mwezi ila kama ofisini uliyopangiwa wanahela nao wanaweza kukupa mwaka ukiisha unasepa PSRS Wao asilimia kubwa ni kazi za permanent job and pensionable job ukipata unakula asali na kusubir kusitafu tu mkuu
😂😂😂😂Ikishindikana kwenda kuchukulia barua hii nitavaa kwenda kumchumbia mtoto mkaliiijamaa utapiga pasi hiyo suti hadi ichanike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utaiomba tena?Practical question tu.. kama ndio huna experience vifaa vileee.. nikuliwaa haina ubabaishajiii [emoji28][emoji28][emoji28]
nasubiri Post iwe Re-Advertised
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ikishindikana kwenda kuchukulia barua hii nitavaa kwenda kumchumbia mtoto mkaliii
😂😂😂Siwezi kushindwa vyote mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Ikishindikana kwenda kuchukulia barua hii nitavaa kwenda kumchumbia mtoto mkaliii
Nimevuta picha unavyoitoa na kuirudisha kabatini🤣jamaa utapiga pasi hiyo suti hadi ichanike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂Inawezekana tu mida wowoteHivi placement zinaweza kutoka jumapili??
😂😂😂😂Nimeamua kuivaa nazurula nayo mtaaniNimevuta picha unavyoitoa na kuirudisha kabatini🤣
Nitaiomba nyingine kunakaz kma 3 hiv za kada yangu watu wamezinguuuaUtaiomba tena?
Mpk Pasaka wnatoNimevuta picha unavyoitoa na kuirudisha kabatini[emoji1787]
Kwamba Plan B lazima itick[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi kushindwa vyote mkuu
Sawa mkuu vuta subiraNitaiomba nyingine kunakaz kma 3 hiv za kada yangu watu wamezinguuua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama na kigogo umeshakijua basi uko smart kichwani,jiandae kulamba mrija wakoKwa kweli ,mpaka kigogo nishaanza kuingea.Nilicho hamua kesho naondoka aisee...
Mkuu mbona walitangaza kabisa watatoa kuanzia tarehe 2.Nipo gest, nilikuwa najua huenda tokeo lingetoka jumamosi au jumapili, then nichague moja kurudi MASKANI kwangu au nibakie.Mimi Siyo mpenzi wa kukaa kwenye mabasi muda mrefu.
malipo laki na nusu thubutuuuTaesa wanatoa internship ya mwaka mmoja na malipo ya laki na nusu Kila mwezi ila kama ofisini uliyopangiwa wanahela nao wanaweza kukupa mwaka ukiisha unasepa PSRS Wao asilimia kubwa ni kazi za permanent job and pensionable job ukipata unakula asali na kusubir kusitafu tu mkuu