Nimefuatilia PDF nyingi za PSRS za kuitwa Kazini taasisi mbalimbali za umma zinatoka Siku ya JumanneJ3 ya mwisho wa Octoba ndio hiyo ishaingia, je tunaweza kuambulia kapdf cha kufungia mwezi?
Usisite kutembelea web ya PSRS unaweza kujiokotea dodo ndani ya Auditorium room
Ahahaha we mwamba ni hatar unachimba vitu kama CIANimefuatilia PDF nyingi za PSRS za kuitwa Kazini taasisi mbalimbali za umma zinatoka Siku ya Jumanne
Refer PDF ya 19/07/2022
Ikafuata ya 27/09/2022
Na ya mwisho ilikuwa 11/10/2022 zote zilitoka siku ya Jumanne so hope kesho PDF nyingine inafuata [emoji23][emoji38]
🤣🤣🤣🤣🤣Nimefuatilia PDF nyingi za PSRS za kuitwa Kazini taasisi mbalimbali za umma zinatoka Siku ya Jumanne
Refer PDF ya 19/07/2022
Ikafuata ya 27/09/2022
Na ya mwisho ilikuwa 11/10/2022 zote zilitoka siku ya Jumanne so hope kesho PDF nyingine inafuata [emoji23][emoji38]
Mtabiri sio poa🤣😂😂😂😂Kapdf kakumalizia mwezi
Ni huzuni sana na ndio hali iliyokuepo mtaaniHuu uzi unasikitisha Sana
SMH 😢😔
Mimi nilikua na received mbili adem nikaitwa nasubiri result kama nimefaulu nikalambe asali,IAE waliniambia not shortlisted sababu bachelor degree requirements haziendani Cha ajabu zilikua zinaendana lakini sikuitwa..kwahyo nategea sehem moja kama Allah kaandikia nikarambe asaliKuna watu humu walikuwa na Received zaidi ya 3 Ila naamini baada ya PSRS kuita Usaili Heslb na naot, baadhi ya watu washamaliza Received zao zote.
Haya Kila mtu aje hapa atoe ushuhuda wake,,,, Alikuwa na received ngapi, kahudhuria saili ngapi, kafika Oral mara ngapi, Tamu na chungu ipo wapi kwenye hizi saili, Estimation wa kupata kazi kupitia hizi saili iko wapi.????? AU ndo ulikandwa zote 😂😂
😂😂😂😂😂mtabiri nikaamua kuivaa suti yangu kwenda church pdf wabaki nayo tuMtabiri sio poa🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakazia hapo paragraph ya mwisho
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kumekucha
Sio poa mtabiri tumedandia mtumbwi wa vibwengo😂😂😂😂😂mtabiri nikaamua kuivaa suti yangu kwenda church pdf wabaki nayo tu
Anything can happen any timeJapo mstari wa kutoka ujobless kuwa mlamba asali unachangamoto ila ni mwembamba sana, lolote linaweza kutokea muda wowote.
Nilikuwa na received 5.
1 sikuwa shortlisted kwa sababu isiyo mashiko maana kama hiyo sababu ingetumika, nisingeitwa hata moja.
4 nikawa shortlisted.
3 nimekandwa, sijafika oral
1 ni ya juzi(NAOT), majibu tarehe 2.
Tathmini:
Mrija wa Asali ndio ushapita kushoto hivyo
Received 5
2 nimeitwa ila nimechagua moja (zilikuwa muda mmoja) tu na nimefika oral nasubir placement (first time interview ya Pspr)
1 ya NAOT sijaitwa sababu za kijinga kuwa sijafika referee 3 nimewapigia na wamesema hawana cha kunisaidia ( nyoko zao wamefanya figisu nje ya uwanja)
2 bado received nazisubiri wazilete, wasipo nifanyia figisu za nje ya uwanja Naomba Mungu nitoboe niingie kwenye pipa la asali
Ndio Jobless mkongwe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kapdf kakumalizia mwezi
Hahahahaaa, laiti PSRS wangekuwa hawacheleweshi mambo hizi tafiti/tathmini tusingezipataNimefuatilia PDF nyingi za PSRS za kuitwa Kazini taasisi mbalimbali za umma zinatoka Siku ya Jumanne
Refer PDF ya 19/07/2022
Ikafuata ya 27/09/2022
Na ya mwisho ilikuwa 11/10/2022 zote zilitoka siku ya Jumanne so hope kesho PDF nyingine inafuata [emoji23][emoji38]
PoleniNi huzuni sana na ndio hali iliyokuepo mtaani