Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

J3 ya mwisho wa Octoba ndio hiyo ishaingia, je tunaweza kuambulia kapdf cha kufungia mwezi?

Usisite kutembelea web ya PSRS unaweza kujiokotea dodo ndani ya Auditorium room
Nimefuatilia PDF nyingi za PSRS za kuitwa Kazini taasisi mbalimbali za umma zinatoka Siku ya Jumanne
Refer PDF ya 19/07/2022
Ikafuata ya 27/09/2022
Na ya mwisho ilikuwa 11/10/2022 zote zilitoka siku ya Jumanne so hope kesho PDF nyingine inafuata [emoji23][emoji38]
 
Kuna watu humu walikuwa na Received zaidi ya 3 Ila naamini baada ya PSRS kuita Usaili Heslb na naot, baadhi ya watu washamaliza Received zao zote.
Haya Kila mtu aje hapa atoe ushuhuda wake,,,, Alikuwa na received ngapi, kahudhuria saili ngapi, kafika Oral mara ngapi, Tamu na chungu ipo wapi kwenye hizi saili, Estimation wa kupata kazi kupitia hizi saili iko wapi.????? AU ndo ulikandwa zote 😂😂
Mimi nilikua na received mbili adem nikaitwa nasubiri result kama nimefaulu nikalambe asali,IAE waliniambia not shortlisted sababu bachelor degree requirements haziendani Cha ajabu zilikua zinaendana lakini sikuitwa..kwahyo nategea sehem moja kama Allah kaandikia nikarambe asali
 
Nilikuwa na received 5.

1 sikuwa shortlisted kwa sababu isiyo mashiko maana kama hiyo sababu ingetumika, nisingeitwa hata moja.

4 nikawa shortlisted.

3 nimekandwa, sijafika oral

1 ni ya juzi(NAOT), majibu tarehe 2.

Tathmini:
Mrija wa Asali ndio ushapita kushoto hivyo

Hahaha, Mkuu unaongea mambo yanayoumiza lakini kwa lugha rahisi sana. Hiki ni kipaji Mkuu, usikiache.
 
Received 5
2 nimeitwa ila nimechagua moja (zilikuwa muda mmoja) tu na nimefika oral nasubir placement (first time interview ya Pspr)

1 ya NAOT sijaitwa sababu za kijinga kuwa sijafika referee 3 nimewapigia na wamesema hawana cha kunisaidia ( nyoko zao wamefanya figisu nje ya uwanja)

2 bado received nazisubiri wazilete, wasipo nifanyia figisu za nje ya uwanja Naomba Mungu nitoboe niingie kwenye pipa la asali

Hahaha, Mkuu wewe hutaki mambo ya mrija unaenda kabisa kwenye pipa la asali! Nimecheka sana.
 
Nimefuatilia PDF nyingi za PSRS za kuitwa Kazini taasisi mbalimbali za umma zinatoka Siku ya Jumanne
Refer PDF ya 19/07/2022
Ikafuata ya 27/09/2022
Na ya mwisho ilikuwa 11/10/2022 zote zilitoka siku ya Jumanne so hope kesho PDF nyingine inafuata [emoji23][emoji38]
Hahahahaaa, laiti PSRS wangekuwa hawacheleweshi mambo hizi tafiti/tathmini tusingezipata
 
Back
Top Bottom