Tunaposema kuna wahuni wanataka kuhujumu makusudi mfumo wa PSRS ili kufanya yao ,watu waelewe .Hili suala la taasisi kuipigia PSRS ni la ukweli kbsa
ana zandanii sana, anakujaga na kusepa.Mfwende ! ,yule jamaa yetu Makofia mbona kapotea sana humu ? , tumekuwa hopeless kabisa mzee .
Hamna morali za ronja master kabisa sikuhizi humu .
nimeisikia magazetini leo , sema huyu simbachawene nasikia ni TISS ngoja tuone kama vyombo vya ulinzi vitaingilia katiHili suala la taasisi kuipigia PSRS ni la ukweli kbsa
Dah noma sana inaonekana PSRS ni mwiba sana kwa watoto wa vigogoTunaposema kuna wahuni wanataka kuhujumu makusudi mfumo wa PSRS ili kufanya yao ,watu waelewe .
Hii ni hujuma ,na sijui hata hao TISS wamewekwa mfukoni au vipi ? ,Nashindwa kuelewa ,maana pale PSRS wapo maafisa vipenyo kibao .
Sasa inakuwaje hujuma kama hizi zinafumbiwa macho ?
Dah noma sana inaonekana PSRS ni mwiba sana kwa watoto wa vigogoTunaposema kuna wahuni wanataka kuhujumu makusudi mfumo wa PSRS ili kufanya yao ,watu waelewe .
Hii ni hujuma ,na sijui hata hao TISS wamewekwa mfukoni au vipi ? ,Nashindwa kuelewa ,maana pale PSRS wapo maafisa vipenyo kibao .
Sasa inakuwaje hujuma kama hizi zinafumbiwa macho ?
Aliongelea wapi hii taarif mkuu maana nimeona tu heading kweny gazetnimeisikia magazetini leo , sema huyu simbachawene nasikia ni TISS ngoja tuone kama vyombo vya ulinzi vitaingilia kati
Awataki kusikia habar za psrs kabisa.Dah noma sana inaonekana PSRS ni mwiba sana kwa watoto wa vigogo
Dah hatari sana jamaa inaonekana wanawanyooshea sana hakuna ch3nga chenga alf taasisi zinapelekewa watumishi wasio wataka hii nchi ngumu snaa kuna watu wanaona kama yao vileAwataki kusikia habar za psrs kabisa.
Wanaeza ifuta hii kitu aisee sio poaAwataki kusikia habar za psrs kabisa.
Hawa vigogo nashindwa kuelewa shida iko wap?, aslimia kubwa wanapeleka watoto wao shule zenye hadhi ya juu na wengine kusomea nje kabisa,sasa wanashindwaje kupambana na watoto wa wakulima ambao wamesomea tena kwenye shule za hadhi ya chini kabisa yani shule za kata, mpaka wapewe mbeleko kiasi hicho kama walivyo fanya NSSF na taasisi nyingine zenye mlengo huo, nimeamini psrs ni watenda haki na wapewe maua yao.Dah noma sana inaonekana PSRS ni mwiba sana kwa watoto wa vigogo
Dah hii nchi ngumu sanaHawa vigogo nashindwa kuelewa shida iko wap?, aslimia kubwa wanapeleka watoto wao shule zenye hadhi ya juu na wengine kusomea nje kabisa,sasa wanashindwaje kupambana na watoto wa wakulima ambao wamesomea tena kwenye shule za hadhi ya chini kabisa yani shule za kata, mpaka wapewe mbeleko kiasi hicho kama walivyo fanya NSSF na taasisi nyingine zenye mlengo huo, nimeamini psrs ni watenda haki na wapewe maua yao.
Watu walishasemaga humu ndani kuwa kuna haki inatendeka karibia 90% haki inatendeka , watu wakaitwa mawakala, haya leo hii mnajionea hali huko kwenye taasisi na mashirika watu wanaambiwa watoe mpaka mil 5 na rushwa ya ngono juu ili wapate kazi, vigogo na mawziri wenu nao wamo, bado najiuliza swali ilikuwaje TRA wakimbilie kufanya recruitment chini yao ili hali kuna vijana wengi sana waliingia data base mwezi Februari mwaka huu, kwa nini wasingewapa nafasi hizo hao vijana ili wao wakaanza mchakato wa kuajiri wenyewe kwa wakati mwingine.Hawa vigogo nashindwa kuelewa shida iko wap?, aslimia kubwa wanapeleka watoto wao shule zenye hadhi ya juu na wengine kusomea nje kabisa,sasa wanashindwaje kupambana na watoto wa wakulima ambao wamesomea tena kwenye shule za hadhi ya chini kabisa yani shule za kata, mpaka wapewe mbeleko kiasi hicho kama walivyo fanya NSSF na taasisi nyingine zenye mlengo huo, nimeamini psrs ni watenda haki na wapewe maua yao.
Mkuu urasimu ni mwingi ni ngumu sana TRA kuchukua vijana wa dtabase wa psrs ilihali hao psrs wenyewe hawaitaki na kuipiga vitaWatu walishasemaga humu ndani kuwa kuna haki inatendeka karibia 90% haki inatendeka , watu wakaitwa mawakala, haya leo hii mnajionea hali huko kwenye taasisi na mashirika watu wanaambiwa watoe mpaka mil 5 na rushwa ya ngono juu ili wapate kazi, vigogo na mawziri wenu nao wamo, bado najiuliza swali ilikuwaje TRA wakimbilie kufanya recruitment chini yao ili hali kuna vijana wengi sana waliingia data base mwezi Februari mwaka huu, kwa nini wasingewapa nafasi hizo hao vijana ili wao wakaanza mchakato wa kuajiri wenyewe kwa wakati mwingine.
Hii nchi ukifikilia sanaa unaweza kusema mimi ni mwamiaji nimekuja na ninaondoka tz.....Watu walishasemaga humu ndani kuwa kuna haki inatendeka karibia 90% haki inatendeka , watu wakaitwa mawakala, haya leo hii mnajionea hali huko kwenye taasisi na mashirika watu wanaambiwa watoe mpaka mil 5 na rushwa ya ngono juu ili wapate kazi, vigogo na mawziri wenu nao wamo, bado najiuliza swali ilikuwaje TRA wakimbilie kufanya recruitment chini yao ili hali kuna vijana wengi sana waliingia data base mwezi Februari mwaka huu, kwa nini wasingewapa nafasi hizo hao vijana ili wao wakaanza mchakato wa kuajiri wenyewe kwa wakati mwingine.
Sijakuelewa ndugu, yaani PSRS waipinge data base yao wenyewe?Mkuu urasimu ni mwingi ni ngumu sana TRA kuchukua vijana wa dtabase wa psrs ilihali hao psrs wenyewe hawaitaki na kuipiga vita
Fair competition ya psrs inawabana kichizi .Dah noma sana inaonekana PSRS ni mwiba sana kwa watoto wa vigogo
Soma vzr mkuu nakusudia TRA hawaitaki PSRS so ni ngumu kuchukua vijana kutoka database ya psrsSijakuelewa ndugu, yaani PSRS waipinge data base yao wenyewe?
Jinga sana haya majitu , yanajipakulia minyama tu .NSSF wanaogopa mchakato ukiwa wa wazi vijana wao 'waliowaingiza' kwenye mikataba yao wanaweza kupigwa 'ndoige' asubuhi na mapema.
Ndio maana wameamua ku wa 'secure' kwa kuwaambia hizo kazi zao wa apply wenyewe.
Kazi ipo 'kwerikweri'.
Sent using Jamii Forums mobile app