Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

.......Changamoto iliyopo psrs ni kuchelewa kutoa placement tofauti na hapo hawa jamaa wako vizuri sana.

Wako fair kwa asilimia 99.9%
Ata kuchakata pia zile call for interview napo wanachukua Mda, ila walishaanza kufanyia mchakato hayo mapungufu mfano saiv saili za written zinafanyika kikanda.
 
M naona PSRS wapewe muda kwa kuwa naona baadhi ya changamoto wanazitatua ndo mwanzo huo. Nina Iman kubwa sana na PSRS.
Psrs wako vizuri wanatenda haki kwa 90%

Shida iliyopo psrs wamelemewa inabidi waongezewe nguvu kazi kufanyia mchakato wa ajira taasisi zote nchi hii sio mchezo imagine taasisi kama tra wao wenyewe wamekaa miezi 3 psrs mwenye nchi nzima itakuaje .

Mi nina kazi tayari ila tunaomba serikali rudisheni michakato ya ajira psrs
 
Pale kuna mtu alikuwa anakwamisha mambo ya placement kwa malengo ya PSRS kuonekana haifanyi kazi kwa Weredi......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbon ss mambo yale yale tuu wiki sasa hakuna placement mkuu
Mkuu maji yameshamwagika unategemea nn(ilifika kwa mama)....
Ila aliotengeneza tatizo hilo hatoki mbali na PSRS ...Ili kuwapa Taasisi mwanya wa kuajiri wenyewe kwa kigezo cha PSRS kuchelewesha mchakato..
Uwezi kuniambia Board nzima ya Utumishi ilikuwa haioni mapungufu ya wafanyakazi hapo wakati Wao ndo walioshikilia usukani....Hapo ndo inaonyesha huruma ya mwanamke(Mh.Mhagama) inanguvu...
Bora Mama(rais) huyo mtu angemtoa hapo PSRS tumaini la vijana liwepo
Tuzidi kumuomba Mungu atusimamie tunapita nyakati ngumu hakuna kukataa tamaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa 100%
 
Wataongezewa nguvu lini sasa, saizi taasisi na mashirika tayari yana board maana so yanaanza kauajiri yenyewe yaani saiz Psrs hawana kazi, ajiea chache za halimashauri watenadji wa vijiji na nafasi zingine chache ndo wataendesha zingine zote zimerudishwa vyuo vyote, mashrika yote, taasisi zote zimepewa mamlaka kamili kuajiri.In short habari ndo imeisha mpaka marekebisho mfsno mzuri ni NSSF, na TRA watoto wa wakulima Mteegemeeni Mungu bila hivyo kutoboa ni ngumu
 
Kumbe Mashirika ya Umma yalikuwa na mpango wa kujiondoa PSRSView attachment 2759419

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Hii ni kweli kabisa, kuna jamaa yangu mmoja ni mhanga wa kuhamishwa alikuwa katika taasisi moja nono sana ila alipoteuliwa mkurugenzi mpya katika taasisi hiyo alianza kupangua watumishi na wengine kupelekwa halmashauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…