Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Haya niambie unalipwa 520k no posho no perdiem hizo accumulation za assets utazitolea wapi kama si mwizi.
Una familia pia inakutegem
Be patient mkuu huwezi kukusanya assets na juzi ulikuwa Graduate yani unataka kuwa tajiri in your 30s [emoji23]
Case closed 😅😅

Hii dunia hatujawahi kuwa sawa kwa nyanja yoyote ile
 
Mkuu nikuulize unafanya kazi halmashauri au unapokea Hiyo TGS ? kwa muda gani?

Kuna vijana wa Mataasisi makubwa maisha yao magumu sana wanashinda masaki kula pizza lakini wanapiga mizinga balaa, wanapenda kuonekana Rich muda wote.

Halafu kuna wafanyakazi halmashauri ya masasi wanalima ufuta usipime, msimu wa korosho wanajaa mifuko asikwambie mtu I am talking from experience.

Ndo maana nakwambia patience ni kila kitu.
 
Ndugu zangu wengi wanaosaidia familia ni watu wa TGS iwe misiba, harusi, ada n.k hao watu wa mascale ya juu muda wote wanasema hawana hela Ukiomba wanakwambia Dar maisha magumu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu elewa tu sio poa
 
Ndugu zangu wengi wanaosaidia familia ni watu wa TGS iwe misiba, harusi, ada n.k hao watu wa mascale ya juu muda wote wanasema hawana hela Ukiomba wanakwambia Dar maisha magumu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Exactly wanamaisha magumu kweli

Hebu cheki makadirio haya

Nyumba kodi 500k+
Mafuta kila siku 15000+
Chakula daily 15000+
---------------------------------------
Total 1,400,000

Achana na matumizi mengine yoote.

Niambie halmashuri gani huko ndani ndani mnakosema kuna matumizi ya kufikia nusu ya hayo hapo juu.

Halmashauri ya tunduma watu wanatembea kwa miguu kwenda ofisini kutoka kwenye nyumba ambayo kodi yale ni 100,000 kwa mwezi ambayo kwa nje imepandwa mboga mboga[emoji23]
 
[emoji4][emoji4]... kama kuna ukweli hapa sijajua lakini...
 

Upo sahihi mkuu.
 
Jamaa akareport tu ,apige kazi , kama hataki aje kwa kanjibai huku abadilishane na mimi ,aonje jehanamu ya moto wa kanjibai na mchina !
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Umesahau na kumiliki Title, me nipo TCRA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…