Lee Harvey Oswald1
Member
- Apr 29, 2023
- 17
- 74
Hongera sana mkuu karibu utumishi wa umaWanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Sasa mkuu umejuaje mimi nipo halmashauri na kwanini uwadharau halmashauri daaah ebwana eehKwa kipato chako cha halmashauri huna uwezo wa kumudu mafuta, atlesat kipato chako kingekuwa 5m kwenda juu
Hongera mkuu ukawe mtumishimwemaaWanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera kakaWanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana mkuu, hu uzi kila mtu atapata kazi kwa muda wakee.Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Ile feeling asikwambie mtu lazima u freeze kwanza kidogo😅 aisee hongera sana nakutakia utumishi mwema katika majukumu yakoWanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Mkando wangu wa kwanza nilipitia hii scenario na nikandwa haswa.Hakuna kitu kinauma kama umefanya written leo unasubiri majibu kesho. Asubuhi unatoka Guest kabla ya saa NNE ili usihesabiwe siku ya pili. Siku nzima unazurura mjini matokeo wanatoa SAA 3/4 usiku "NOT selected for Oral"
Unakimbia stendi SAA 5 usiku kuwahi usafiri mabasi hakuna. Unalala kwenye viti vya chuma
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya.Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sanaa Kiongozi....Ukawe Mtumishi mwema sanaaWanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi, Kila la kheri mkuu.Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana, kila la kheri katika utumishi wakoWanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Asante sana kakaHongera sana mkuu karibu utumishi wa uma
Asante sana kaka jana tu nmetoka kukupa pongezi leo ni zamu yako kunipongeza..MUNGU nu mwema.Hongera sana mkuu, hu uzi kila mtu atapata kazi kwa muda wakee.
Asante sana kakaIle feeling asikwambie mtu lazima u freeze kwanza kidogo😅 aisee hongera sana nakutakia utumishi mwema katika majukumu yako
Asante sanaHongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya.
Hizi shuhuda huwa zinatia nguvu kwa wote wanaoendelea kupambana
Asante sana 🙏Hongera sanaa Kiongozi....Ukawe Mtumishi mwema sanaa
Asante sana budaHongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi, Kila la kheri mkuu.
Asante Sana🙏Hongera sana, kila la kheri katika utumishi wako