Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana mkuu karibu utumishi wa uma
 
Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana mkuu, hu uzi kila mtu atapata kazi kwa muda wakee.
 
Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Ile feeling asikwambie mtu lazima u freeze kwanza kidogo😅 aisee hongera sana nakutakia utumishi mwema katika majukumu yako
 
Hakuna kitu kinauma kama umefanya written leo unasubiri majibu kesho. Asubuhi unatoka Guest kabla ya saa NNE ili usihesabiwe siku ya pili. Siku nzima unazurura mjini matokeo wanatoa SAA 3/4 usiku "NOT selected for Oral"
Unakimbia stendi SAA 5 usiku kuwahi usafiri mabasi hakuna. Unalala kwenye viti vya chuma
Mkando wangu wa kwanza nilipitia hii scenario na nikandwa haswa.

Ila mapambano yaliendelea maana ndio ilikuwa experience ya kufukia mashimo yaliyojitokeza.

Najua hali hii inawakuta watu wengi lakini isiwe ni sababu ya kugive up bali ndio iwe chachu ya kupambana zaidi
 
Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya.

Hizi shuhuda huwa zinatia nguvu kwa wote wanaoendelea kupambana
 
Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sanaa Kiongozi....Ukawe Mtumishi mwema sanaa
 
Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi, Kila la kheri mkuu.
 
Wanangu feeling ya kudownload pdf na kukuta jina lako rasmi nmeiexpirience leo..nmeshndwa fanya chochote kwa sekunde kadhaa hakika MUNGU ni mkubwa sana na mimi leo natoa shuhuda..MUNGU awasaidie na nyie ndugu zangu mnaosubiria msikate tamii amini ipo siku atawasikia.
Hongera sana, kila la kheri katika utumishi wako
 
Back
Top Bottom