Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mamlaka ya Mapato inapendwa na kila mtu kwahiyo kasoro za hapa na pale na malalamiko ya hapa na pale ni lazima yawepo. Taasisi ziachwe zitafute talent zitakazo fit mahitaji yao.
Labda kama kwenu ni watoto wa vigogo lakini sisi masikini...walala hoi na wenye wazazi ambao kwao mlo ni mara mbili mchana na usiku.... Watuachie tu PSRS tufanye huko usaili....
 

Hongera sana mkuu
 
Labda kama kwenu ni watoto wa vigogo lakini sisi masikini...walala hoi na wenye wazazi ambao kwao mlo ni mara mbili mchana na usiku.... Watuachie tu PSRS tufanye huko usaili....

Una haki na uhuru wa kutoa maoni.

Edited:
Iddi Amin Dada aliwahi kusema "kwenye boxing ukiona refa hayupo upande wako dawa ni kumpiga mpinzani wako kwa knock out".

Sasa wewe piga mithani kwa 100% tuone. Unafikiri wakubwa wakiamua kufanya yao hao psrs watafanya nini? Umaskini kisiwe kichaka kwa sisi kutafuta huruma dawa ni kujiandaa na kuitandika interview kisawasawa.
 
Asante sana kaka kwa ushaur mzur ulionipa nitazngatia
MUNGU NI MWEMA SANA.
 
Ila kilichotokea kwangu.moto wangu umekufa ganzi .

Nimejitolea liwalo na Liwe.

Kama itakuwa yangu nitamshukuru Mungu.

Isipokuwa mipango ya Mungu na maandalizi ya database.
Tulishajua kuwa placement zinachelewa basi haina haja ya kuwaza sana, just project miezi kadhaa mbele huku ukiendelea na hustle zingine kitaa.

Mimi baada ya kumaliza oral nilijiwekea muda wa miezi 3 mbele ndio nianze kuziwaza ingawa nilikuwa nafuatilia kila siku placement zinazotoka ili niweze kufurahia mafanikio ya wengine kama tunavvyofurahia hapa.

Ila baada ya miezi 2 tu nikapigwa suprise na IT, nikiwa nimejichokea na kutwa nzima kijiweni mida ya saa 4 usiku natumiwa pdf WhatsApp na kupongezwa, hiyo moment sasa utaijua siku ukiona jina kwenye placement.

Kuwa na subira, endelea na ishu zingine kwanza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…